Niliwahi kumgegeda mtoto wa mpangaji wetu kwenye kijumba flani ambacho hakijaisha vizuri..
Sasa mama yake akapita pembeni sisi tukamuona.
Sasa sikujua kama na yeye alituona au la.
Mida kama ya saa 2 usiku nikaona anapiga hodi nyumba kubwa ambapo ndio tunakaa sisi... moyo kidogo upasuke.
Nilikimbilia chumbani maana nilishindwa kutoroka nje kwakuwa home kuna mlango mmoja wa kuingilia na ndio huo huyo maza anaotaka kuingilia..
Nikiwa chumbani niliskia maza anamkaribisha huyo mpangaji wakaanza kupiga stori jikoni ambapo mimi siwaskii..
Huko chumbani nilihisi kila haja inabana..jasho linatoka mapigo ya mbio yanaenda moyo...
Baada ya nusu saa yuke mama mpamgaji akaondoka zake..
Ghafra maza akaanza kuniita kwa sauti kubwa..
Nikajua hapa nimeisha ..
Nikaanza kusali sala zangu za mwisho na kutubu dhambi kwa muumba..
Bi mkubwa akanifwata room anafoka kwa nini anaiita siitiki..mimi hapo niko katikati ya maombi mazito sana..
Mwisho ananiambia eti chakula kimeiva niende kula kama sitaki niache wanataka kuosha vyombo..
Sikuamini maskio yangu kama hakuwa ananiitia ile nshu ya mgegedo...nilitoka room nikaenda kupiga vijiko viwili nikashiba maana sio kwa presha niliyokuwa nayo.
Kesho yake nafanya udadisi wa kijasusi nikagundua kumbe yule maza mpangaji hakutuona na jioni ile alikuja kwa shida zake binanafsi tu..
Ilikua mwaka 2005