rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,974
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Kuna likizo nilienda kumtembelea sister nikiwa form three hivi nikamtongoza mtoto wa jirani
Ile saa mbili usiku muda wa kula tupo mezani familia yote pmj na shem.
Mara ghafla mlango unagongwa kufunguliwa akaingia yule binti ameambatana na mama ake na baba ake binti aliulizwa ni yupi anayekusumbua akaninyoshea mkono mimi....nilichambwa sister anajua kuchamba asee nilishambuliwa kila aina ya maneno mabaya.
Iyo siku niltamani nipae angani