Ni kipindi gani ulitamani dunia ipasuke uingie

Ni kipindi gani ulitamani dunia ipasuke uingie

Kuna likizo nilienda kumtembelea sister nikiwa form three hivi nikamtongoza mtoto wa jirani

Ile saa mbili usiku muda wa kula tupo mezani familia yote pmj na shem.

Mara ghafla mlango unagongwa kufunguliwa akaingia yule binti ameambatana na mama ake na baba ake binti aliulizwa ni yupi anayekusumbua akaninyoshea mkono mimi....nilichambwa sister anajua kuchamba asee nilishambuliwa kila aina ya maneno mabaya.
Iyo siku niltamani nipae angani
 
Niliwahi kumgegeda mtoto wa mpangaji wetu kwenye kijumba flani ambacho hakijaisha vizuri..
Sasa mama yake akapita pembeni sisi tukamuona.
Sasa sikujua kama na yeye alituona au la.

Mida kama ya saa 2 usiku nikaona anapiga hodi nyumba kubwa ambapo ndio tunakaa sisi... moyo kidogo upasuke.
Nilikimbilia chumbani maana nilishindwa kutoroka nje kwakuwa home kuna mlango mmoja wa kuingilia na ndio huo huyo maza anaotaka kuingilia..

Nikiwa chumbani niliskia maza anamkaribisha huyo mpangaji wakaanza kupiga stori jikoni ambapo mimi siwaskii..

Huko chumbani nilihisi kila haja inabana..jasho linatoka mapigo ya mbio yanaenda moyo...

Baada ya nusu saa yuke mama mpamgaji akaondoka zake..
Ghafra maza akaanza kuniita kwa sauti kubwa..
Nikajua hapa nimeisha ..
Nikaanza kusali sala zangu za mwisho na kutubu dhambi kwa muumba..

Bi mkubwa akanifwata room anafoka kwa nini anaiita siitiki..mimi hapo niko katikati ya maombi mazito sana..

Mwisho ananiambia eti chakula kimeiva niende kula kama sitaki niache wanataka kuosha vyombo..

Sikuamini maskio yangu kama hakuwa ananiitia ile nshu ya mgegedo...nilitoka room nikaenda kupiga vijiko viwili nikashiba maana sio kwa presha niliyokuwa nayo.

Kesho yake nafanya udadisi wa kijasusi nikagundua kumbe yule maza mpangaji hakutuona na jioni ile alikuja kwa shida zake binanafsi tu..

Ilikua mwaka 2005
 
Siku nilikuwa sijaandaa lesson plan na scheme of work nafundisha nikiwa field mara paap assessor akaja bila ya Mimi kufahamu sipendi kukumbuka ila nilihisi mstari wa Moto umepita tumboni
Unafundisha Shule gani kiongozi..?
 
Niliwahi kumgegeda mtoto wa mpangaji wetu kwenye kijumba flani ambacho hakijaisha vizuri..
Sasa mama yake akapita pembeni sisi tukamuona.
Sasa sikujua kama na yeye alituona au la.

Mida kama ya saa 2 usiku nikaona anapiga hodi nyumba kubwa ambapo ndio tunakaa sisi... moyo kidogo upasuke.
Nilikimbilia chumbani maana nilishindwa kutoroka nje kwakuwa home kuna mlango mmoja wa kuingilia na ndio huo huyo maza anaotaka kuingilia..

Nikiwa chumbani niliskia maza anamkaribisha huyo mpangaji wakaanza kupiga stori jikoni ambapo mimi siwaskii..

Huko chumbani nilihisi kila haja inabana..jasho linatoka mapigo ya mbio yanaenda moyo...

Baada ya nusu saa yuke mama mpamgaji akaondoka zake..
Ghafra maza akaanza kuniita kwa sauti kubwa..
Nikajua hapa nimeisha ..
Nikaanza kusali sala zangu za mwisho na kutubu dhambi kwa muumba..

Bi mkubwa akanifwata room anafoka kwa nini anaiita siitiki..mimi hapo niko katikati ya maombi mazito sana..

Mwisho ananiambia eti chakula kimeiva niende kula kama sitaki niache wanataka kuosha vyombo..

Sikuamini maskio yangu kama hakuwa ananiitia ile nshu ya mgegedo...nilitoka room nikaenda kupiga vijiko viwili nikashiba maana sio kwa presha niliyokuwa nayo.

Kesho yake nafanya udadisi wa kijasusi nikagundua kumbe yule maza mpangaji hakutuona na jioni ile alikuja kwa shida zake binanafsi tu..

Ilikua mwaka 2005
Sawa muhenga .vipi kwa sasa umeoa?
 
Maisha haya acha tuusintosahau kipindi nilifungwa jela 2weeks niliteseka saana hadi nikawa natamani niwe kama ndege nipae angani ili niepukane na mateso yale !!!sintosahau hadi kufaaa!!!
 
Za kitoto zote hizo
Siongei kwa kirefu ila kipindi kigumu nilichopitia ni kufumaniwa na mke wa mtu. Full stop, unaweza kunywa sumu ufe
Na ndege John alivo mrefu sipati picha hyo supu ilivonoga.
 
Kuna likizo nilienda kumtembelea sister nikiwa form three hivi nikamtongoza mtoto wa jirani

Ile saa mbili usiku muda wa kula tupo mezani familia yote pmj na shem.

Mara ghafla mlango unagongwa kufunguliwa akaingia yule binti ameambatana na mama ake na baba ake binti aliulizwa ni yupi anayekusumbua akaninyoshea mkono mimi....nilichambwa sister anajua kuchamba asee nilishambuliwa kila aina ya maneno mabaya.
Iyo siku niltamani nipae angani
 
Niliwahi kumgegeda mtoto wa mpangaji wetu kwenye kijumba flani ambacho hakijaisha vizuri..
Sasa mama yake akapita pembeni sisi tukamuona.
Sasa sikujua kama na yeye alituona au la.

Mida kama ya saa 2 usiku nikaona anapiga hodi nyumba kubwa ambapo ndio tunakaa sisi... moyo kidogo upasuke.
Nilikimbilia chumbani maana nilishindwa kutoroka nje kwakuwa home kuna mlango mmoja wa kuingilia na ndio huo huyo maza anaotaka kuingilia..

Nikiwa chumbani niliskia maza anamkaribisha huyo mpangaji wakaanza kupiga stori jikoni ambapo mimi siwaskii..

Huko chumbani nilihisi kila haja inabana..jasho linatoka mapigo ya mbio yanaenda moyo...

Baada ya nusu saa yuke mama mpamgaji akaondoka zake..
Ghafra maza akaanza kuniita kwa sauti kubwa..
Nikajua hapa nimeisha ..
Nikaanza kusali sala zangu za mwisho na kutubu dhambi kwa muumba..

Bi mkubwa akanifwata room anafoka kwa nini anaiita siitiki..mimi hapo niko katikati ya maombi mazito sana..

Mwisho ananiambia eti chakula kimeiva niende kula kama sitaki niache wanataka kuosha vyombo..

Sikuamini maskio yangu kama hakuwa ananiitia ile nshu ya mgegedo...nilitoka room nikaenda kupiga vijiko viwili nikashiba maana sio kwa presha niliyokuwa nayo.

Kesho yake nafanya udadisi wa kijasusi nikagundua kumbe yule maza mpangaji hakutuona na jioni ile alikuja kwa shida zake binanafsi tu..

Ilikua mwaka 2005
Watoto wadogo mnafanya matusi..mlistahili mboko unabahat sana.
 
Maisha haya acha tuusintosahau kipindi nilifungwa jela 2weeks niliteseka saana hadi nikawa natamani niwe kama ndege nipae angani ili niepukane na mateso yale !!!sintosahau hadi kufaaa!!!
Jela???? week 2 mkuu?? au rumandee unamanishaa..
 
Umenikumbusha miaka hiyo nikiwa Advance, kuna Mwalimu wa field naye assesor alimtembelea kwa lengo la kukagua ufundishaji wake. Sasa jamaa kapiga pindi, baadae akatoa nafasi ya maswali. Ile ma-dent wananyoosha mkono, akawa anawakonyeza kinamna kuwataka wasimpige maswali.. Nilicheka sana siku ile.
Jina alikuwa anaitwa Mwalimu Andimile kama sikosei
Siku nilikuwa sijaandaa lesson plan na scheme of work nafundisha nikiwa field mara paap assessor akaja bila ya Mimi kufahamu sipendi kukumbuka ila nilihisi mstari wa Moto umepita tumboni
 
Siku nilipogundua Demu wangu anamahusiano ya kimapenzi na mtu aliyedai ni Kaka yake..
 
Jela???? week 2 mkuu?? au rumandee unamanishaa..
ilikua jela kuu kbsa wala si rumande!!ila kesi ili harakishwa saana Mungu akasaidiza tukatoka, inchi zingine hazina sheria kbsaa!!
 
Back
Top Bottom