Elly255
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 883
- 1,432
Kwa upande wangu nakumbuka ilikuwa 2003 kama sikosei niko primary. Siku moja jioni kwenye saa 12 jioni naenda zangu kuchota maji bombani karibu na mto, si nikaingiwa na tamaa ya kula muwa. Ikabidi nivamie shamba moja kuiba, aise kumbe mlinzi aliwepo akanikamata na kunifunga kamba.
Hapo niliwaza mzee alivokuwa mkatili anapiga nusu kuua kwakweli nilitamani dunia iishe. Nilipelekwa home mida ya saa 3 usiku nilipigwa sana na mzee sitasahau. Bado kesho yake nilichelewa kuwahi namba shule nikapigwa tena dah!
Vipi kwa upande wako inaweza kuwa mahusiano, pengine uliachwa au ulifumaniwa au uliiba kama mimi [emoji16][emoji16][emoji16].
Karibu ufunguke
Hapo niliwaza mzee alivokuwa mkatili anapiga nusu kuua kwakweli nilitamani dunia iishe. Nilipelekwa home mida ya saa 3 usiku nilipigwa sana na mzee sitasahau. Bado kesho yake nilichelewa kuwahi namba shule nikapigwa tena dah!
Vipi kwa upande wako inaweza kuwa mahusiano, pengine uliachwa au ulifumaniwa au uliiba kama mimi [emoji16][emoji16][emoji16].
Karibu ufunguke