Baby M
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 1,037
- 415
mmeshindaje wana JF.
kwani kwenye mahusiano ya kimapenzi unatakiwa uvumilie mangapi jaman na kama hakuna kipimo kipi ukifanye tofauti kukabiliana na hali zenye utata?
nina rafiki yangu nilisoma nae chuo, tumekua marafiki wa karibu sana ananijua na mimi namjua,
wakati tupo chuo boy friend wake alimpa mimba akaikataa kwa sababu alihisi si yake as alikua akijua story kwamba dem wake alikua ana wanaume wengine jamaa alivyokua nje ya nchi, na ni kweli alikua aki date wakati jamaa akiwa nje(those cheat chart na nyegez) ila jamaa ake akirudi she keep it strictly uhusiano wake na jamaa ham`mix,.
well akajifungua mtoto likatokea copy paste na jamaa, baada ya mwaka boifrend akaamua rudi baada ya kushauriwa kwamba kweli toto ni lake bila hiyana akakubali kwa hiari yake wakasameheana akaamua muoa shosti yangu.
after ndoa ndani ya ka mwezi na nusu hapo shost ana mimba ya miez saba ya jamaa coz walirudiana kabla ya kuhalalisha ndoa kanisani, waligombana jamaa akambonda vizuri sana mkewe, aling`oa rasta kichwani ngumi za kushosha skio moja liliacha kusikia kwa muda makofi ya kutosha, aliumwa na kuugua wiki mbili,, alishauriwa avumilie ndito maisha ya ndoa, kwani yeye alitaka kuondoka kwa huyo mme.
sasa bidada hivi karibuni anakua analalamika tuu kuhusu ndoa, mara hana hela, stress and upweke wamsumbua, mara ataniambia nimtafutie namba za ma x wake labda na yeye atapata faraja, kwa sasa yupo kwao anahisi mumewe ana toka nje ya njia kuu.
mara ataniambia huyu mwanaume aliye nioa simjui tena sio yule aliye kuwa boifrend m`sweet, wakati mwingine mimi naweza mkuta jamaa yake kwenye kumbi za starehe usiku mnene na ataniambia nisimwambie mkewe kama nimemuona hapo na wanakaa nyumba moja.
yeye shost yangu siku hizi hunishauri mimi ambaye sijaolewa kwamba niwe mwangalifu kumjua mwanaume wangu sababu yeye anayopitia ni mazito, na ana miaka 25 sasa with two kids, chuo hakueza maliza mwaka wa tatu hadi sasa hana cheti anapata wakati mgumu kuomba ajira tho anajituma na biashara zake za hapa na pale.
leo kaamka asubuh ananiambia nimsaidie tafuta nyumba ya kukaa na watoto wake sababu alishaondoka kwa mmewe ako kwao, alikua akiniambia mda mrefu nikajua utani nikiamini atarud kwa mzazi mwenzie. hao ni watu wenye ndoa ya mwaka 1 na miez 4 tuu.
now najiuliza sababu roho inaniuma kuona rafiki yangu ndoa yake ipo matatani japo naamini siku kitaeleweka warudiane, je ndoa za siku hizi zinatengana ndani ya mda mfupi je ni wanandoa kukosa uvumilivu or kitu gani jaman, sababu natishika hata mimi kuolewa naona sijui ni kipi nijipange kuvumiliana humo ndani ya ndoa. ukizingatia kila mtu anamapungufu yake.
mawazo na uzoefu wenu pliz.
kwani kwenye mahusiano ya kimapenzi unatakiwa uvumilie mangapi jaman na kama hakuna kipimo kipi ukifanye tofauti kukabiliana na hali zenye utata?
nina rafiki yangu nilisoma nae chuo, tumekua marafiki wa karibu sana ananijua na mimi namjua,
wakati tupo chuo boy friend wake alimpa mimba akaikataa kwa sababu alihisi si yake as alikua akijua story kwamba dem wake alikua ana wanaume wengine jamaa alivyokua nje ya nchi, na ni kweli alikua aki date wakati jamaa akiwa nje(those cheat chart na nyegez) ila jamaa ake akirudi she keep it strictly uhusiano wake na jamaa ham`mix,.
well akajifungua mtoto likatokea copy paste na jamaa, baada ya mwaka boifrend akaamua rudi baada ya kushauriwa kwamba kweli toto ni lake bila hiyana akakubali kwa hiari yake wakasameheana akaamua muoa shosti yangu.
after ndoa ndani ya ka mwezi na nusu hapo shost ana mimba ya miez saba ya jamaa coz walirudiana kabla ya kuhalalisha ndoa kanisani, waligombana jamaa akambonda vizuri sana mkewe, aling`oa rasta kichwani ngumi za kushosha skio moja liliacha kusikia kwa muda makofi ya kutosha, aliumwa na kuugua wiki mbili,, alishauriwa avumilie ndito maisha ya ndoa, kwani yeye alitaka kuondoka kwa huyo mme.
sasa bidada hivi karibuni anakua analalamika tuu kuhusu ndoa, mara hana hela, stress and upweke wamsumbua, mara ataniambia nimtafutie namba za ma x wake labda na yeye atapata faraja, kwa sasa yupo kwao anahisi mumewe ana toka nje ya njia kuu.
mara ataniambia huyu mwanaume aliye nioa simjui tena sio yule aliye kuwa boifrend m`sweet, wakati mwingine mimi naweza mkuta jamaa yake kwenye kumbi za starehe usiku mnene na ataniambia nisimwambie mkewe kama nimemuona hapo na wanakaa nyumba moja.
yeye shost yangu siku hizi hunishauri mimi ambaye sijaolewa kwamba niwe mwangalifu kumjua mwanaume wangu sababu yeye anayopitia ni mazito, na ana miaka 25 sasa with two kids, chuo hakueza maliza mwaka wa tatu hadi sasa hana cheti anapata wakati mgumu kuomba ajira tho anajituma na biashara zake za hapa na pale.
leo kaamka asubuh ananiambia nimsaidie tafuta nyumba ya kukaa na watoto wake sababu alishaondoka kwa mmewe ako kwao, alikua akiniambia mda mrefu nikajua utani nikiamini atarud kwa mzazi mwenzie. hao ni watu wenye ndoa ya mwaka 1 na miez 4 tuu.
now najiuliza sababu roho inaniuma kuona rafiki yangu ndoa yake ipo matatani japo naamini siku kitaeleweka warudiane, je ndoa za siku hizi zinatengana ndani ya mda mfupi je ni wanandoa kukosa uvumilivu or kitu gani jaman, sababu natishika hata mimi kuolewa naona sijui ni kipi nijipange kuvumiliana humo ndani ya ndoa. ukizingatia kila mtu anamapungufu yake.
mawazo na uzoefu wenu pliz.