Wana JF,
Wenzangu yawezekana tupo tunaendelea na maisha yetu ya kawaida ila kwa jinsi mimi nionavyo kuna tatizo zito kwenye uchumi wa Dunia na kwa hatua tatizo hili lilipofikia kuna uwezekano wa mifumo ya fedha iliyopo ikashindwa kabisa kufanya kazi hali ambayo itazusha taharuki Dunia nzima.
Nimeona Federal reserve kule Marekani wameongeza interest rate kidogo sana lakini matokea yake hisa za makampuni mengi zimeporomoka,indexes zimeporomoka,crypto kama bitcoin imeshuka thamani mpaka kuwa chini ya $30000 na investors Dunia nzima wako katika panic kubwa na wanaonekana hawajui cha kufanya.
Kwa hali iliyopo sasa nadhani nchi nyingi kwa pamoja zinakwenda kudefault madeni yao tena kwa kufuatana hali ambayo itakwenda kuzalisha mamilion ya maskini Dunia nzima.
Kwa sasa tukae tayari mifumo iliyopo ya kifedha iliyojengwa kwa mtindo wa kumunipulate imefika mwisho tuweni tayari kwa mifumo mpya ambayo utakuja kwa masharti lukuki.
Wenzangu yawezekana tupo tunaendelea na maisha yetu ya kawaida ila kwa jinsi mimi nionavyo kuna tatizo zito kwenye uchumi wa Dunia na kwa hatua tatizo hili lilipofikia kuna uwezekano wa mifumo ya fedha iliyopo ikashindwa kabisa kufanya kazi hali ambayo itazusha taharuki Dunia nzima.
Nimeona Federal reserve kule Marekani wameongeza interest rate kidogo sana lakini matokea yake hisa za makampuni mengi zimeporomoka,indexes zimeporomoka,crypto kama bitcoin imeshuka thamani mpaka kuwa chini ya $30000 na investors Dunia nzima wako katika panic kubwa na wanaonekana hawajui cha kufanya.
Kwa hali iliyopo sasa nadhani nchi nyingi kwa pamoja zinakwenda kudefault madeni yao tena kwa kufuatana hali ambayo itakwenda kuzalisha mamilion ya maskini Dunia nzima.
Kwa sasa tukae tayari mifumo iliyopo ya kifedha iliyojengwa kwa mtindo wa kumunipulate imefika mwisho tuweni tayari kwa mifumo mpya ambayo utakuja kwa masharti lukuki.