Ni kina nani hawa wanaotishia usalama wa Rais wetu kiasi hiki?

Anayeandika andiko refuu kama hiki kuongelea hoja legevu yeye atakuwa nani?
Yaani unaoga mtoni,kuchaa anatokea na kubeba nguo zako na kukimbia,wewe unatoka mtoni kama ulivyo na kuanza kumfukuza,hivi hapo kichaa hasa ni yupi?
 
Reactions: BAK
(Convyoy Protection Jammer) katika msafara wa Rais lina kazi gani?

Mkuu hilo si swali la kawaida sana, hata wewe huenda ulikuwa hujui kazi ya hilo gari na hata wana JF kibao tu hawajui, sasa kuuliza hvo kuna ubaya gani.???

Hakikisha lumumba wamekupa posho yako, usisahau hilo
 
Reactions: BAK
Wazungu tuliozuia wasiondoke na mchanga, wauza unga na mitandao yao, wa meno ya tembo na mitandao yao, wapiga dili sekta za umma na matajiri mafisadi na wakwepa kodi huwa ni watu hatari sana unapoendesha vita vya uchumi
Hamna vita ya uchumi hapo..!
 
Wasiwasi wangu kuna siku yanaweza kutokea mauaji ya raia ya bahati mbaya,
Woga ukizidi unaweza kupiga yowe pasi na kitu,
Nachelea kusema isije tokea siku moja wakafyatua hizo machine zao kwa hofu zao.
 

Mafisadi na mabeberu wanamsaka saka, labda
 
Dikteta Magufuli amejitengenezea maadui kwa matendo yake maovu kwa Jamii ya Watz!

Dikteta Muamar Gadafy alikuwa akilindwa na Makomandoo 300. Where is he now?
Hata akiwa na ulinzi wa Makomandoo milioni 1 siku Wananchi wakikinukisha atang'oka tu!

Fuatilia vizuri. Bila madege na msaada mkubwa wa wazungu waandamanaji wasingefua dafu. Saa hizi walibya wangekuwa wanaendelea kula bata kwa kulipiwa mahari, umeme bure, elimu bure na nk. Saa hizi wanapata taabu sana. Chunguza kinachoendelea siku hizi pande zile
 
jamani kama kuna kitu cha kuogopwa kama ukoma ni uoga
1. Enzi zile za kusoma novel james hardley chase aliandika novel yake akaiita "the guilty are afraid".
2. Nyakati nyingine vyombo vya usalama na wanufaika wa makandokando ya kuwa karibu na mfalme humjengea na kumwaminisha kuwa wao ndio wana dhamana ya usalama wake ili wajikite zaidi karibu naye.
 
Maskini huwa hana madhara kwa kiongozi wa juu hata kama hapewi upendeleo.
Tajiri anamadhara makubwa kwa kiongozi wa juu endapo maslahi yake yasiyo ya haki yakiingiliwa.
 
Na zaidi, kila mwananchi alikuwa ni mwanausalama. Kwa sisi tuliokuwa vijijini, wageni walitolewa taarifa kwa balozi wa nyumba 10. Kulikuwa na uzalendo wa kweli. Sasa hivi tunadanganyana tu. Na kila mtu anajua hivyo. Wanajua kuwa wameharibu uzalendo.
hilo ndilo jibu halisi la Nguruvi3 na wenzake na iwe fundisho, Raia ndio walinzi wa kwanza kuliko hayo masilaha, taarifa zote za yaliyotaka kutoea kwa Mwl Nyerere RIP yalitolewa na raia km dereva Taxi, wanajeshi waliokuwa kambini na sio TISS
Ndo yule afisa aliyeshiriki kumpiga Lissu risasi aliefia muhimbili???
ndio huyo huyo, na maisha yake yote alifichwa ghorofa la pale mwisho wa reli bandarii akiwa na wenzake, sasa katangulia kamuacha mwenzake mzima, yeye kaitia aibu familia yake na mazishi yake wayalinde hivyohivyo HAPOKELEWI popote acheni akakae anapostahili kwa dhambi zake
 
mwisho wa ubaya ni aibu
 
Naona una matatizo, na hujui ufanyalo au uandikacho, unafikiri hiyo kalamu na kiti utavikalia mpaka lini?
Trump anakosolewa na hatumii ubabe wake wa Rais wa USA
 
Ukiwemo wewe na wasaliti wenzio!
 
Alitekwa MO dewj anaependwa na asie na maadui kwa sababu tusizozijua,wametekwa kina rOMA,...Watu kibao wanapotea hovyo kwasababu zisizo julikana na hao wote hawana maadui,hawajulikani kama RAIS ila mnashangaaa RAIS kwanin analindwa Si eti??

Jaribuni kupita pita maeneo alipo MO au msogeleeeni sasa hivi muone Kama anafikika tena kirahisi kama zamani? hiii nchi kila mtu na ajali usalama wake,na afanyacho Rais hata ungekua wewe ungeimarisha ulinzi TU tena ikumbukwe Rais ndio ana maadui kila hatua anayopiga kwanini asijiwekee ULINZI??

au mnafikiri Rais haogopi yanayowakuta kina MO,ROMA,waandishi wa habari wanaotekwa,nk mnafikiri yeye sio binadamu eeeh HAOGOPI??? hata ingekua wewe ungeogopa na inawezekana ungejiwekea ulinzi kuliko hata anaojiwekea RAIS wetu leo.

Rais haogop mtu ana jihami tu na hiyo ni kawaida...Nendeni mbuga za wanyama alafu katembeeni kwa miguuu mpishane na simba Tuone kamaa mnaweza,maana mnajitia hamuifahamu TANZANIA na watu wasiojulikana.
 
kwaio unahisi magufuli anauwezo wa kupambambana na wahisani. ..never on earth's miaka ya 70 pekee ndo walitokea maraisi kama akina sankara na wengine wale walipambana live kabisa na kukataa kabisa misaada...huku akina magufuli wanaitaka hiyo misaada afu uku kwa wananchi wanajidai wanapambana ushawahi ona wapi hiyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…