Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Augustino Chiwinga
0659438889.
Sasa hivi wapinzani baada ya kuishiwa hoja wamehamia katika kujadili aina ya ulinzi alionao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Daktari John Pombe Magufuli.
Huku ni kukosa hoja kufikia kutaka eti apunguziwe ulinzi na wengine wakiuliza maswali ya kipuuzi kama vile gari la machumachuma (Convyoy Protection Jammer) katika msafara wa Rais lina kazi gani?
Jamani tuelewane Rais ni kiongozi mkuu wa nchi hivyo anastahili ulinzi kwa kadri ya vyombo ya ulinzi na usalama vitakavyoona inafaa.
Tukumbuke usalama wa viongozi ni jambo nyeti sana hivyo tuwaachie wanaohusika kushughulika nao.
Hoja wanayoisema eti kwamba Rais Magufuli ulinzi wake ni mkali kuliko marais wa awamu zilizopita, na kwamba ulinzi wake unajenga hofu kwa wananchi na Bajeti kubwa.
Jambo hilo sio kweli kwa raia mwema hawezi kuingiwa na hofu hata kama Rais atalindwa na vifaru, bali hofu huwapata wale wenye nia ovu na kuhusu Bajeti hiyo pia sio kweli kwa sababu Bajeti hupitishwa Bungeni baada ya uchambuzi na majadiliano ya kina hivyo Wabunge waliopitisha wameipitisha kulingana na mahitaji ya sasa na maslahi ya nchi kwa ujumla.
Wanataka Rais apunguziwe ulinzi , ili iweje napata mashaka kwa nini wanataka ulinzi upunguzwe.
Rais wetu amefanya mambo na maamuz makubwa ya kizalendo ambayo bila shaka yamewajeruhi baadhi ya watu wabaya wa ndani na nje ya nchi hivyo kuongozewa ulinzi ni jambo la umuhimu mkubwa.
Sio wote wanaofurahia tunavyopiga maendeleo kwa haraka, sio wote wamefurahi tunavyojenga bwawa la Stiegelers Gorge, reli ya Sgr au kukamua majipu ya mafisadi chini ya mzalendo nambari moja Jpm.
Lazima hatua za tahadhari zichukuliwe kwa manufaa ya nchi.
Kuna mambo mengi mazuri tunayoweza kujadili lakini sio ulinzi wa mkuu wa nchi hao tuwaachie wanatasnia wenyewe.
(Convyoy Protection Jammer) katika msafara wa Rais lina kazi gani?
Mbona deal zinapigwa bado..!!Rais lazima awe na ulinzi mkali
Mafisadi yamenuna maana mzee kabana njia zote
Hamna vita ya uchumi hapo..!Wazungu tuliozuia wasiondoke na mchanga, wauza unga na mitandao yao, wa meno ya tembo na mitandao yao, wapiga dili sekta za umma na matajiri mafisadi na wakwepa kodi huwa ni watu hatari sana unapoendesha vita vya uchumi
Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.
Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?
Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
Dikteta Magufuli amejitengenezea maadui kwa matendo yake maovu kwa Jamii ya Watz!
Dikteta Muamar Gadafy alikuwa akilindwa na Makomandoo 300. Where is he now?
Hata akiwa na ulinzi wa Makomandoo milioni 1 siku Wananchi wakikinukisha atang'oka tu!
1. Enzi zile za kusoma novel james hardley chase aliandika novel yake akaiita "the guilty are afraid".jamani kama kuna kitu cha kuogopwa kama ukoma ni uoga
Huwa una tuakili twa kipuuzi na kujipendekeza.
Hana ninalopenda ila huwa ni mbumbumbu mzungu wa reli sana.Elewa hivyo.Unataka aandike unavyopenda wewe?
hilo ndilo jibu halisi la Nguruvi3 na wenzake na iwe fundisho, Raia ndio walinzi wa kwanza kuliko hayo masilaha, taarifa zote za yaliyotaka kutoea kwa Mwl Nyerere RIP yalitolewa na raia km dereva Taxi, wanajeshi waliokuwa kambini na sio TISSNa zaidi, kila mwananchi alikuwa ni mwanausalama. Kwa sisi tuliokuwa vijijini, wageni walitolewa taarifa kwa balozi wa nyumba 10. Kulikuwa na uzalendo wa kweli. Sasa hivi tunadanganyana tu. Na kila mtu anajua hivyo. Wanajua kuwa wameharibu uzalendo.
ndio huyo huyo, na maisha yake yote alifichwa ghorofa la pale mwisho wa reli bandarii akiwa na wenzake, sasa katangulia kamuacha mwenzake mzima, yeye kaitia aibu familia yake na mazishi yake wayalinde hivyohivyo HAPOKELEWI popote acheni akakae anapostahili kwa dhambi zakeNdo yule afisa aliyeshiriki kumpiga Lissu risasi aliefia muhimbili???
mwisho wa ubaya ni aibuhilo ndilo jibu halisi la Nguruvi3 na wenzake na iwe fundisho, Raia ndio walinzi wa kwanza kuliko hayo masilaha, taarifa zote za yaliyotaka kutoea kwa Mwl Nyerere RIP yalitolewa na raia km dereva Taxi, wanajeshi waliokuwa kambini na sio TISS
ndio huyo huyo, na maisha yake yote alifichwa ghorofa la pale mwisho wa reli bandarii akiwa na wenzake, sasa katangulia kamuacha mwenzake mzima, yeye kaitia aibu familia yake na mazishi yake wayalinde hivyohivyo HAPOKELEWI popote acheni akakae anapostahili kwa dhambi zake
Hatoweza maana watu wameshaanza kuangalia warithi wake wakati muda wake bado hii inaonesha taa nyekundu kwakeAtakuwa ameplan kukaa madarakani muda mrefu huyu si bure.
Naona una matatizo, na hujui ufanyalo au uandikacho, unafikiri hiyo kalamu na kiti utavikalia mpaka lini?Tatizo mambo serious unaleta utani..hapo kuna issue bado zipo kwenye upelelzi unazileta hapa za nini..? Kumbe jibu lako ni la kihisia zaidi..nilidhani unaleta mifano hai..lakini nikutonye jomba, kati ya hayo uliyoyataja, kuna baadhi ya kesi wanasema yapo hukohuko kwenu yanajulikana...sasa mmeshafanya Serikali ni jamvi la bibi..madudu yote mnarushia huko.....be careful...mnachinjana wenyewe kwa wenyewe halaf mnasingizia serikai..huu ni ujinga wa division nine
Ukiwemo wewe na wasaliti wenzio!Jana msafara wake ulienda kuaga mwili wa "afisa" mmoja wa TISS, kila kona ya bara bara kukawa na askari wenye mitutu ya bunduki. Leo pia vivyo hivyo.
Nimejikuta najiuliza hivi ni adui au maadui gani hawa wanamtisha na kumuogofya Mkuu wetu wa nchi anayependwa na wananchi wake kiasi hiki?
Isije tokea siku tukapoteza risasi zetu kwa kuua Inzi..!
Ndo yule afisa aliyeshiriki kumpiga Lissu risasi aliefia muhimbili???
kwaio unahisi magufuli anauwezo wa kupambambana na wahisani. ..never on earth's miaka ya 70 pekee ndo walitokea maraisi kama akina sankara na wengine wale walipambana live kabisa na kukataa kabisa misaada...huku akina magufuli wanaitaka hiyo misaada afu uku kwa wananchi wanajidai wanapambana ushawahi ona wapi hiyoooAngalia kinachotokea Venezuela kisa Maduro anazuia mafuta kama mtangulizi wake Hugo Chavez ambaye inasemekana walimpa sumu ya kufa taratibu alipoenda mikutano ya kimataifa kwao. Hata Kim Jong Un, usipozuia maslahi yao huna haja hata ya ulinzi seriously, malawi wana tumbaku na Chai tu umeona wazungu wanahangaika nao??, Hata ziara za kuelekea Malawi hakuna. Inafaa kuwaangalia wazungu kwa upeo mkubwa, hapo Uganda kabla jamaa hajagundua mafuta kelele kila siku umekaa muda mrefu ustaafu, alivyogundua mafuta kelele Imeisha wanajua bora wanaemmudu kuliko aje mpya kama Magufuli. Unatakiwa kuwa na upeo kuwaelewa wale jamaa