Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,212
- 85,326
Kwa hiyo hizo kazi ulizo zitaja, ndio unataka ukalipwe 50 elfu per day...!!??jamaa ana alegy na kubeti , ni bora ni mshauri apige kazi za saidia fundi , au zile za kuchimba mitalo ya barabarani , au ya kulaza mabomba-DAWASA ndo nipo namshauri hapa aangalie manual work zile kazi za kutumia nguvu ,hata kuzibua vyoo , maana dah ndugu zake wameweka ngumu yeye kutokumlipia ada . Dah maisha haya yanachangamoto balaaaa .
.....mbaf kabisa