Ni kawaida kulala na mdada chumba kimoja na msifanye mapenzi?

Ni kawaida kulala na mdada chumba kimoja na msifanye mapenzi?

"Nikilala naota, naota kama unaniita ila nafsi inasita mpenzi iko siku nitaitika"
 
Wakuu,

Yamenitokea, sina furaha kabisa😭😭mtaani kwetu Kuna mdada mzuri kapanga katika nyumba ya baba, anafanya kazi ktk ofsi fulani.

Siku ya kwanza tu kuingia ktk chumba nikachangamkia fursa, nikaenda kupika nae gheto, tukapika tukala na nikafosi tuzagamuane,

Bwana ee nikafanya purukushani zote za kumuandaa, nyonya matiti, shingo, mpaka uwanjani nikakagua uwanja kabla ya mchezo, wakati nafanya hivyo alikuwa ananipa ushirikiano na alikuwa amevaa suruali, ele naanza kumvua si akakataa tena katakata bana mapaja na hataki

Asubuhi anaenda job jioni ananipigia niende kwake kula na kulala ila shughuli hiyo hataki, nimelala ktk chumba chake kwa siku 5 na Leo ikiwemo ila Hali ni ile ile🙏🙏

Wakuu imekaaje hii

Cc Nomadix Binti Sayuni03 Mallerina

Nisaidieni🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Acha ubakaji kijana.Omba u-house kiungwana hadi magoti yake yatetemeke yenyewe.
 
Story ya hivi na ni kweli niliisikia mwaka jana mwezi wa 12...mpangaji jamaa ka force...sasa anatumia dawa za kufubaza virus vya UKIMWI alikua analia

Mkuu umejipanga na mwisho wako?nadhani kuna membgine hujatuambia...utakachovuna uje kutuambia
 
Ndio inawezekana
Isingewezekana ungepewa.

Imekaa kawaida.
Kwani umepungukiwa na nini katika vitu ulivyokuwa navyo baada ya kunyimwa
Wakuu,

Yamenitokea, sina furaha kabisa😭😭mtaani kwetu Kuna mdada mzuri kapanga katika nyumba ya baba, anafanya kazi ktk ofsi fulani.

Siku ya kwanza tu kuingia ktk chumba nikachangamkia fursa, nikaenda kupika nae gheto, tukapika tukala na nikafosi tuzagamuane,

Bwana ee nikafanya purukushani zote za kumuandaa, nyonya matiti, shingo, mpaka uwanjani nikakagua uwanja kabla ya mchezo, wakati nafanya hivyo alikuwa ananipa ushirikiano na alikuwa amevaa suruali, ele naanza kumvua si akakataa tena katakata bana mapaja na hataki

Asubuhi anaenda job jioni ananipigia niende kwake kula na kulala ila shughuli hiyo hataki, nimelala ktk chumba chake kwa siku 5 na Leo ikiwemo ila Hali ni ile ile🙏🙏

Wakuu imekaaje hii

Cc Nomadix Binti Sayuni03 Mallerina

Nisaidieni🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom