Ni kama Mbagala tu.

Dah! hiiyo imetulia!, i hope konda yupo na watu watakuwa wanagombania kuingia na wengine kupitia madirishani.
 
nimeipenda hiyo,hata kwetu zipohzo
 
Duuu1asa kwenye zile bamsi za angani watabaki kweli sijaona chuma ya kushilikia!!
 
Ni photo shop hiyo, hilo pipa likishapaa angani hakuna atakayebaki watapeperushwa na upepo kama karatasi
 
asante kwa kunifanya nicheke leo.
 
MKUU MIMI MZEE WA MBAGALA....but humo Dar city hakuna eneo hata moja wasilopitia dirishani, but Mbagala ndo tulianzisha wengine wakaiga! Inaelekea Mbagala wabunifu.... Teheh teee theheeh
Hii inaenda mbagala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…