zeromagic
Senior Member
- Sep 14, 2016
- 186
- 67
Habari,
Kuna ndugu yangu katapeliwa na rafiki yake pesa. Huyo rafiki yake alikua china na alitumiwa pesa ili amnunulie bidhaa huko China. Lakini hata baada ya kurudi kutoka China, jamaa akawa anamzungusha, hadi sasa jamaa hapatikani WhatsApp (maana alikua anatumia namba za China)
Hatujui jamaa anapokaa, tunachojua tu ni kwamba amerudi Tanzania. Sasa nauliza ni njia gani tunaweza kumpata jamaa ikiwa hatujui hata anapokaa, hatuna namba zake zingine zaidi ya zile za China ambazo hazipatikani, namba zake za zamani zilishafungwa maana hazikusajiliwa na NIDA, social media hapatikani.
Naomba msaada kwa anayejua ni jinsi gani tunaweza kumpata huyu jamaa, tunachokijua ni majina yake tu.
Kuna ndugu yangu katapeliwa na rafiki yake pesa. Huyo rafiki yake alikua china na alitumiwa pesa ili amnunulie bidhaa huko China. Lakini hata baada ya kurudi kutoka China, jamaa akawa anamzungusha, hadi sasa jamaa hapatikani WhatsApp (maana alikua anatumia namba za China)
Hatujui jamaa anapokaa, tunachojua tu ni kwamba amerudi Tanzania. Sasa nauliza ni njia gani tunaweza kumpata jamaa ikiwa hatujui hata anapokaa, hatuna namba zake zingine zaidi ya zile za China ambazo hazipatikani, namba zake za zamani zilishafungwa maana hazikusajiliwa na NIDA, social media hapatikani.
Naomba msaada kwa anayejua ni jinsi gani tunaweza kumpata huyu jamaa, tunachokijua ni majina yake tu.