Makonda hana usiano wamoja kwa moja na ushindi star ameenda kama mshabiki tu hata kenya walikuwepo washabikiKabisa, yaan kaenda kupeleka siasa zake kwenye team ya Taifa..
inamaana Taifa limekosa watu kwenda kutoa hamasa mpka makonda, ile hali mvuto wa makonda kwenye public ni hasi..
Kwahiyo alikuwa na haki ya kwenda hata Mtanzania yeyote ana hakiMakonda hana usiano wamoja kwa moja na ushindi star ameenda kama mshabiki tu hata kenya walikuwepo washabiki