Ni jambo gani jema alilowahi simamia/shadadia Bashite likafanikiwa?? Tujiandae Kisaikolojia mechi ya leo TAIFA Stars vs Kenya.....

Ati timu ya taifa inatekeleza ilani ya ccm by Makonda.
 
Kabisa, yaan kaenda kupeleka siasa zake kwenye team ya Taifa..

inamaana Taifa limekosa watu kwenda kutoa hamasa mpka makonda, ile hali mvuto wa makonda kwenye public ni hasi..
 
Kabisa, yaan kaenda kupeleka siasa zake kwenye team ya Taifa..

inamaana Taifa limekosa watu kwenda kutoa hamasa mpka makonda, ile hali mvuto wa makonda kwenye public ni hasi..
Makonda hana usiano wamoja kwa moja na ushindi star ameenda kama mshabiki tu hata kenya walikuwepo washabiki
 
Back
Top Bottom