gilldenu JF-Expert Member Mar 25, 2015 2,914 3,002 Apr 10, 2020 #1 Wakuu hekima kwenu, Naomba mnisaidie kujua tofauti ya hesabu na hisabati maana yanatumikaga kumaanisha kitu kimoja lakini naamini kila moja lina maana yake.
Wakuu hekima kwenu, Naomba mnisaidie kujua tofauti ya hesabu na hisabati maana yanatumikaga kumaanisha kitu kimoja lakini naamini kila moja lina maana yake.
Kamwene kamwene JF-Expert Member Jul 7, 2019 1,159 2,585 Apr 10, 2020 #2 Hesabu ni Kujumlisha Kutoa Kuzidisha Kugawanya Husabati Unaambiwa find the value of x
Hazchem plate JF-Expert Member Feb 25, 2011 11,045 15,378 Apr 11, 2020 #3 >>>>Hisabati ni Somo la Hesabu >>>>Hesabu ni kama unavojua Zala Na Nga
ALEX_ANDER JF-Expert Member Jul 8, 2014 570 812 Apr 11, 2020 #5 Hesabu zile very very basic, kama mathematical operations(-,+,x....), counting numbers. Hisabati ni huko kunabakia. Mfano darasa I-II wanasomba hesabu Kuanzia la tatu wanasoma Hisabati, chunguza hata vitabu vilivyoandikwa. Alexander The Great
Hesabu zile very very basic, kama mathematical operations(-,+,x....), counting numbers. Hisabati ni huko kunabakia. Mfano darasa I-II wanasomba hesabu Kuanzia la tatu wanasoma Hisabati, chunguza hata vitabu vilivyoandikwa. Alexander The Great
mkulu senkondo JF-Expert Member Feb 19, 2017 1,834 3,530 Apr 12, 2020 #6 2+3= Hesabu. (4x+3y= 24......i) (12x+18y=196....ii) _____Hisabati
J Judith itamba New Member Apr 9, 2020 4 0 Apr 13, 2020 #7 Hesabu ni kitenzi(verb) na Hisabati ni nomino (noun) Sent using Jamii Forums mobile app