Ni ipi tofauti Hesabu kati ya Hisabati

gilldenu

JF-Expert Member
Mar 25, 2015
2,914
3,002
Wakuu hekima kwenu,

Naomba mnisaidie kujua tofauti ya hesabu na hisabati maana yanatumikaga kumaanisha kitu kimoja lakini naamini kila moja lina maana yake.
 
Hesabu zile very very basic, kama mathematical operations(-,+,x....), counting numbers.
Hisabati ni huko kunabakia.

Mfano darasa I-II wanasomba hesabu
Kuanzia la tatu wanasoma Hisabati, chunguza hata vitabu vilivyoandikwa.


Alexander The Great
 
Back
Top Bottom