Ni ipi Logic ya kumpeleka mtoto wa miaka 5 Bording School?

Binafsi nimeenda board kuanzia fomu wani sema nilikuwa lizee kabisa Yale yanayochunga ng'ombe ndo kwanza shule. Maana nimeanza fomu wani nikiwa na 18yrs.

Ila kiukweli kidogo tu ilikuwa nianze kuchezea wengine kinyume na maumbile basi tu na zile balehe jamani zinasumbua Sana.
Mkiwa wanaume tupu ndipo unapoanza kumuona mwenzako aliyestahili kuwa mwanamke.
Kuna vijana walikuwa wanafanana na mama zao afu sura za kinyarwanda waliokuwa wanatokea ngara nbasi tu Mungu alitusimamia tukavuka.

Yaani Kuna muda ishu inasumbua ni balaa unashangaa unaanza kumshikamshika mwenzako.
Kuna kijana alitokea tanga alikuwa ni mlaini balaa.

Ile natoa ishu namuonyesha tuliotahiriwa na kisu kijaana anaishika kabisa ujue mpaka nikatoaga mlendamlenda ule.
So hapo unadhani mazingira ni hatari Sana.

So mtoto anatakiwa aende akijitambua hata ameshashiriki penzi na jinsia tofauti.
Hapa Kuna watu hawataweza kuchukua SoMo Bali watajikita na nilichoongea Ila brains katika ku digest Zina difa so kila kichwa kichukue ambacho ni easily attracted to
 
Mambo ya Logic Circuits hayo 😂
Mie hata siyakusoma na nimesoma PCM yaani tokea O-Level electronics sikuisoma Ile labda nije kuijibia mtihani.
Ni Ile kusoma juu juu tu. Nilikuwa selective mno na fani yangu chuoni imekuja kujikita kwa tawi moja tu la physics ambalo ni mechanics yaani pengine nilikuwa nafanyia bure.
Na mechanics tulielewana nayo Sana
 
Mie hata siyakusoma na nimesoma pcm yaani tokea olevo electronics sikuisoma Ile labda nije kuijibia mtihani.
Ni Ile kusoma juu juu tu. Nilikuwa selective mno na fani yangu chuoni imekuja kujikita kwa tawi moja tu la physics ambalo ni mechanics yaani pengine nilikuwa nafanyia bure.
Na mechanics tulielewana nayo Sana
Hahahahah kwahiyo ofisi yako ya Welding iko maeneo gani kwa sasa chief ili niweze kukupa dili za mageti na madirisha!
 
Kupeleka mtoto wako boarding ni ujinga wa hali ya juu na roho mbaya. Kuna siku nilikuwa nachat na mzungu mmoja, akasema ile tabia ya wazungu ya roho mbaya mpaka kufikia kuwageuza race zingine watumwa ni mfumo ulitengenezwa mahsusi.

Mfumo huo ni kuwapeleka watoto wakiwa wadogo boarding ili wasiwe na mapenzi na mtu yeyote (emotional detachment). Hivyo kwasababu huyo mtoto anaenda kuishi na watu ambao sio damu yake, analelewa na watu ambao sio damu yake, inamfanya awe kauzu na akose utu.

Hivyo mimi naamini hata mzazi kama anampenda kweli mtoto wake hawezi mpeleka boarding. Kwasababu siku hizi boarding schools ndio imekuwa viwanda vya kuzalisha mashoga.

Wale watoto wakubwa kwa umri wanawalaghai wadogo na kuwaingilia kinyume na maumbile. Mimi nilishasema mtoto wangu ataenda boarding akimaliza form 4.

Period! Wakati huo atakuwa na akili zake timamu na tumeishi kama familia na anajua values za familia
Unasema kweli kama shule zetu hawazingati kutenganisha watoto kufuatana na umri, nakumbuka enzi zetu zenye kujielewa darasa la kwanza hadi la tatu watatoka break na kutumia vyoo tofauti na wale seniors darasa la nne kama sikosei kwenda mbele nao wana time yao na vyoo vyao
 
Binafsi nimeenda board kuanzia fomu wani sema nilikuwa lizee kabisa Yale yanayochunga ng'ombe ndo kwanza shule. Maana nimeanza fomu wani nikiwa na 18yrs.

Ila kiukweli kidogo tu ilikuwa nianze kuchezea wengine kinyume na maumbile basi tu na zile balehe jamani zinasumbua Sana.
Mkiwa wanaume tupu ndipo unapoanza kumuona mwenzako aliyestahili kuwa mwanamke.
Kuna vijana walikuwa wanafanana na mama zao afu sura za kinyarwanda waliokuwa wanatokea ngara nbasi tu Mungu alitusimamia tukavuka.

Yaani Kuna muda ishu inasumbua ni balaa unashangaa unaanza kumshikamshika mwenzako.
Kuna kijana alitokea tanga alikuwa ni mlaini balaa.

Ile natoa ishu namuonyesha tuliotahiriwa na kisu kijaana anaishika kabisa ujue mpaka nikatoaga mlendamlenda ule.
So hapo unadhani mazingira ni hatari Sana.

So mtoto anatakiwa aende akijitambua hata ameshashiriki penzi na jinsia tofauti.
Hapa Kuna watu hawataweza kuchukua SoMo Bali watajikita na nilichoongea Ila brains katika ku digest Zina difa so kila kichwa kichukue ambacho ni easily attracted to
Wenzetu wanazingatia umri sio mchanganyiko wa 18 na 11 kuepusha ubabe
 
Leo kama kawaida ndio wanafunzi wanajiandaa kurudi shule kwa ajili ya kesho kuanza Masomo.

Sasa kwenye pitapita zangu nikakutana na vitoto nadhani vina miaka Minne hadi Mitano viko na wazazi wao na vimevalishwa uniform. Nadhani ile ndo point ya wao kukutania ili watoto wabebwe kwenda shule.

Wale watoto ni wadogo mno mno muda kama ule na baridi la Arusha walitakiwa wawe wamelala.

Sijajua tunakwama wapi aisee, mbona hata kuku au hata Wanyama wanatuzidi akili inapokuja swala la kutunza watoto?

Ni ubize wa kiwango kipi unaofanya mzazi kupeleka mtoto wake wa miaka minne Bording?

Hivi linapokuja swala la mtoto kweli kuna Optional? Kwamba watu wanachagua pesa badala ya watoto?

Kwa sababu kupeleka mtoto mdogo Bording ni kwamba Mzazi yeye pesa ndo kila kitu na sio mtoto.

Then utasikia Mzazi anasifia shule kwamba ile shule ina Matron mzuri sana ina Mazingira mazuri sana, wanakula chakula kizuri sana, wana Vitanda vizuri na kadhalika, Huu ni ujinga wa kiwango cha kutisha.

Mimi nililelewa kijijini nilikuwa nakunywa uji bila sukari make hakukuwa na pesa ya sukari lakini nilitunzwa na wazazi na nilikuwa na furaha.Tulikuwa tunalalia ngozi za Ng'ombe ila tulikuwa na furaha na amani.

Swala sio mazingira sijui mandhari bali malezi.

Malezi na Mandhari ni vitu viwili tofauti kabisa.

Mnaweza ishi kwenye nyumba ya maturubai na bado mtoto akapata malezi bora kabisa, hata wakimbizi wanaishi kwenye mahema ila wanawapatia watoto wao malezi bora.
Watu wanajua kuzalishana tu, malezi ni mzigo wa dada wa kazi au mwalimu.
 
Leo kama kawaida ndio wanafunzi wanajiandaa kurudi shule kwa ajili ya kesho kuanza Masomo.

Sasa kwenye pitapita zangu nikakutana na vitoto nadhani vina miaka Minne hadi Mitano viko na wazazi wao na vimevalishwa uniform. Nadhani ile ndo point ya wao kukutania ili watoto wabebwe kwenda shule.

Wale watoto ni wadogo mno mno muda kama ule na baridi la Arusha walitakiwa wawe wamelala.

Sijajua tunakwama wapi aisee, mbona hata kuku au hata Wanyama wanatuzidi akili inapokuja swala la kutunza watoto?

Ni ubize wa kiwango kipi unaofanya mzazi kupeleka mtoto wake wa miaka minne Bording?

Hivi linapokuja swala la mtoto kweli kuna Optional? Kwamba watu wanachagua pesa badala ya watoto?

Kwa sababu kupeleka mtoto mdogo Bording ni kwamba Mzazi yeye pesa ndo kila kitu na sio mtoto.

Then utasikia Mzazi anasifia shule kwamba ile shule ina Matron mzuri sana ina Mazingira mazuri sana, wanakula chakula kizuri sana, wana Vitanda vizuri na kadhalika, Huu ni ujinga wa kiwango cha kutisha.

Mimi nililelewa kijijini nilikuwa nakunywa uji bila sukari make hakukuwa na pesa ya sukari lakini nilitunzwa na wazazi na nilikuwa na furaha.Tulikuwa tunalalia ngozi za Ng'ombe ila tulikuwa na furaha na amani.

Swala sio mazingira sijui mandhari bali malezi.

Malezi na Mandhari ni vitu viwili tofauti kabisa.

Mnaweza ishi kwenye nyumba ya maturubai na bado mtoto akapata malezi bora kabisa, hata wakimbizi wanaishi kwenye mahema ila wanawapatia watoto wao malezi bora.
Watanganyika tunaishi kwa kufuata mikumbo na uelekeo wa upepo.
Hivi kwa akili timamu unampeleka mtoto wa 4 to 11 years boarding school kufanya nn?
Walimu hawafundi malezi kwa watoto hao wanaangalia elimu tu na mtoto yupo salama basi, suala la malezi ya mtoto ni Mzazi
 
Back
Top Bottom