Ni heri kuufuta mfumo wa vyama vingi kuliko kufanya mambo ya kitoto namna hii.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,649
20,988
Hii nchi ina vituko sana. Nadhani kama hatuwezi kuexercise democracy in a fair way bora mfumo wa vyama vingi ufutwe, ili CCM ibaki yenyewe ifanye inachotaka.
Hapa ni Tarime Mjini, na hawa ni mawakala wa CHADEMA walioenda kuapishwa kwa ajili ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa. Hapa waliposimama ni nje ya ofisi za Halmashauri, ambapo Msimamizi wa uchaguzi amekimbia ofisi na kuwaacha hapo nje.
Msimamizi huyo ametoroka na fomu za viapo, ambazo anazitumia kuwaapishia mawakala wa CCM huko mtaani. Utaratibu unataka mawakala waapishwe kwa pamoja. Lakini Tarime hali imekua tofauti. Mawakala wa Chadema wamefika, Msimamizi akakimbia za fomu za viapo. Yuko mtaani huko anawaapisha mawakala wa CCM kwa makundi madogo madogo.
Ameona akiwakusanya mawakala wote wa CCM akawaapisha kwa pamoja, mawakala wa vyama vingine watataka nao kuapishwa. Kwahiyo alichofanya ni kuwaambia mawakala wa CCM wajikusanye makundi madogo madogo ya watu watano hadi kumi, kisha anapita na kuwaapisha.
Kwahiyo kuna mawakala wa CCM wameapishiwa Bar, wengine Guest house, wengine mashambani, wengine majumbani kwao. Yote hii ni kukwepa kuwaapisha mawakala wa vyama vingine hasa Chadema. What a shame?
Hivi kama hizi rafu zimeanza kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa, ikifika uchaguzi mkuu itakuwaje? Kama vyama vya upinzani ni tatizo si sheria iliyovianzisha ifutwe ili navyo vipotee? Kwanini muanze kujificha, kukimbia na fomu na kufanya mambo mengine ya aibu kama watoto, while mnaweza kufuta multipartism na mkafanya mambo yenu kwa kurelax?
#© Gmallisa.
 
Hii nchi ina vituko sana. Nadhani kama hatuwezi kuexercise democracy in a fair way bora mfumo wa vyama vingi ufutwe, ili CCM ibaki yenyewe ifanye inachotaka.
Hapa ni Tarime Mjini, na hawa ni mawakala wa CHADEMA walioenda kuapishwa kwa ajili ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa. Hapa waliposimama ni nje ya ofisi za Halmashauri, ambapo Msimamizi wa uchaguzi amekimbia ofisi na kuwaacha hapo nje.
Msimamizi huyo ametoroka na fomu za viapo, ambazo anazitumia kuwaapishia mawakala wa CCM huko mtaani. Utaratibu unataka mawakala waapishwe kwa pamoja. Lakini Tarime hali imekua tofauti. Mawakala wa Chadema wamefika, Msimamizi akakimbia za fomu za viapo. Yuko mtaani huko anawaapisha mawakala wa CCM kwa makundi madogo madogo.
Ameona akiwakusanya mawakala wote wa CCM akawaapisha kwa pamoja, mawakala wa vyama vingine watataka nao kuapishwa. Kwahiyo alichofanya ni kuwaambia mawakala wa CCM wajikusanye makundi madogo madogo ya watu watano hadi kumi, kisha anapita na kuwaapisha.
Kwahiyo kuna mawakala wa CCM wameapishiwa Bar, wengine Guest house, wengine mashambani, wengine majumbani kwao. Yote hii ni kukwepa kuwaapisha mawakala wa vyama vingine hasa Chadema. What a shame?
Hivi kama hizi rafu zimeanza kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa, ikifika uchaguzi mkuu itakuwaje? Kama vyama vya upinzani ni tatizo si sheria iliyovianzisha ifutwe ili navyo vipotee? Kwanini muanze kujificha, kukimbia na fomu na kufanya mambo mengine ya aibu kama watoto, while mnaweza kufuta multipartism na mkafanya mambo yenu kwa kurelax?
#© Gmallisa.
ngojea magufulli afute Ivyo vyama vya upinzani litimie analolitaka,, anataka bunge la chama kimoja mwaka 2020. Ili iwe rahisi bunge kubadili kipengere cha ukomo wa urais kwenye katiba, Kwaní Museveni alifanyaje Uganda kwenye kuondoa kipengele kwenye katiba yao ambacho kiliweka ukomo wa umri Kwa mgombea uraisi,,, wabunge wa chama tawala walipigana kavukavu bungeni huko Uganda na wale wa upinzani
 
Bahati mbaya sana haya mambo yanatokea mwaka 2019! Ilitakiwa yatokee miaka 20 iliyopita ili sasa tuwe na jamii ya wastaarabu
 
ngojea magufulli afute Ivyo vyama vya upinzani litimie analolitaka,, anataka bunge la chama kimoja mwaka 2020. Ili iwe rahisi bunge kubadili kipengere cha ukomo wa urais kwenye katiba, Kwaní Museveni alifanyaje Uganda kwenye kuondoa kipengele kwenye katiba yao ambacho kiliweka ukomo wa umri Kwa mgombea uraisi,,, wabunge wa chama tawala walipigana kavukavu bungeni huko Uganda na wale wa upinzani
By any means hilo ni gumu sana maana wapo baadhi ya viongozi nguli ndani ccm wanaomba kwa udi na uvumba awamu ya tano imalize muda wake kwa amani wanatamani awamu ya sita ifike ili CORRECTIONS IWEZE FANYIKA.
 
Hii nchi ina vituko sana. Nadhani kama hatuwezi kuexercise democracy in a fair way bora mfumo wa vyama vingi ufutwe, ili CCM ibaki yenyewe ifanye inachotaka.
Hapa ni Tarime Mjini, na hawa ni mawakala wa CHADEMA walioenda kuapishwa kwa ajili ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa. Hapa waliposimama ni nje ya ofisi za Halmashauri, ambapo Msimamizi wa uchaguzi amekimbia ofisi na kuwaacha hapo nje.
Msimamizi huyo ametoroka na fomu za viapo, ambazo anazitumia kuwaapishia mawakala wa CCM huko mtaani. Utaratibu unataka mawakala waapishwe kwa pamoja. Lakini Tarime hali imekua tofauti. Mawakala wa Chadema wamefika, Msimamizi akakimbia za fomu za viapo. Yuko mtaani huko anawaapisha mawakala wa CCM kwa makundi madogo madogo.
Ameona akiwakusanya mawakala wote wa CCM akawaapisha kwa pamoja, mawakala wa vyama vingine watataka nao kuapishwa. Kwahiyo alichofanya ni kuwaambia mawakala wa CCM wajikusanye makundi madogo madogo ya watu watano hadi kumi, kisha anapita na kuwaapisha.
Kwahiyo kuna mawakala wa CCM wameapishiwa Bar, wengine Guest house, wengine mashambani, wengine majumbani kwao. Yote hii ni kukwepa kuwaapisha mawakala wa vyama vingine hasa Chadema. What a shame?
Hivi kama hizi rafu zimeanza kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa, ikifika uchaguzi mkuu itakuwaje? Kama vyama vya upinzani ni tatizo si sheria iliyovianzisha ifutwe ili navyo vipotee? Kwanini muanze kujificha, kukimbia na fomu na kufanya mambo mengine ya aibu kama watoto, while mnaweza kufuta multipartism na mkafanya mambo yenu kwa kurelax?
#© Gmallisa.
[/QUOTE
noted
 
ngojea magufulli afute Ivyo vyama vya upinzani litimie analolitaka,, anataka bunge la chama kimoja mwaka 2020. Ili iwe rahisi bunge kubadili kipengere cha ukomo wa urais kwenye katiba, Kwaní Museveni alifanyaje Uganda kwenye kuondoa kipengele kwenye katiba yao ambacho kiliweka ukomo wa umri Kwa mgombea uraisi,,, wabunge wa chama tawala walipigana kavukavu bungeni huko Uganda na wale wa upinzani
Mseveni alipata madaraka kutokea msituni na Alisha sema anaetaka nafasi yake nae aende msituni,magufuli ameupata uraisi kwa mgongo wa kikwete na mkapa.so mlinganisho wako haufanani hivyo usitegemee magufuli kujiongezea miaka kwenye nchi kama ya Tanzania
 
Mseveni alipata madaraka kutokea msituni na Alisha sema anaetaka nafasi yake nae aende msituni,magufuli ameupata uraisi kwa mgongo wa kikwete na mkapa.so mlinganisho wako haufanani hivyo usitegemee magufuli kujiongezea miaka kwenye nchi kama ya Tanzania
nan wakumzuia, tunae Ngosha had Mwaka 2099 uyu
 
Sasa kama makada wa chama tawala wanateuliwa mchana kweupe kusimamia huo uchaguzi kwa niaba ya watanzania wote, tutegemee haki kutendeka? Wenye akili tumeshajitoa kitambo kutoshiriki aina yoyote ile ya uchaguzi chini ya utawala wa Rais wa sasa!

Anachokisema jukwaani na anachokifanya kwenye maamuzi yake, ni vitu viwili tofauti.
 
Back
Top Bottom