Mabadiliko yanayoimbwa ni mabadiliko ya mifuko ya viongozi wa chama, siyomabadiliko ya maisha ya watanzania. Wajanja wameshituka wakaingia mitini, wamebaki mambumbumbu wasojua kuusoma mchezo ndani ya chama chao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.