Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 10,015
- 35,381
Nilipoteza 1.5M nikiwa na miaka 20 niliingiza pesa hiyo kwenye biashara ambayo sikuifanyia utafiti wowote wala kuomba ushauri kwa mtu yoyote kwakua nilishawishiwa na mtu nilie muamin Sana lakin sikirudisha hata senti 1 ya pesa ile baada ya kuitoa
.. naamin lile lilikua funzo tosha kwenye maisha yangu, ni story ambayo sikuwahi kumsimulia mtu yoyote kwakua niliamin kutokumsimulia mtu yoyote ndo njia rahisi ya kulisahau lile tukio.
.. naamin lile lilikua funzo tosha kwenye maisha yangu, ni story ambayo sikuwahi kumsimulia mtu yoyote kwakua niliamin kutokumsimulia mtu yoyote ndo njia rahisi ya kulisahau lile tukio.