mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,732
- 9,889
Dah pole sana mkuu,dunia ina mitihani sana.
Au wewe ndio yule wa Arusha aliyesema pesa za vicoba zimepotea kwa uchawi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au wewe ndio yule wa Arusha aliyesema pesa za vicoba zimepotea kwa uchawi.
SIJUI HII YANGU NI KUPOTEZA AMA VIP!!
Nilikuwa mtunza fedha wa kikoba flani!
Fedha ambayo nna uhakika kwamba nilichota na kuwekeza ni around 4m(hii nayo haikurudi baada ya kutapeliwa na kupata hasara pia)
Kuna fedha nadhani nilishindwa kuipigua hesabu vizuri hivyo wakopaji walinifaidi ni around 1.5m
ILA MPAKA MWISHO NILIJIKUTA NINAPUNGUFU YA M.16.Mpaka leo nina kesi mahakamani.1.Nilifanya juhudi za kuwalipa kidogo kidogo(about 3M(sasa eti hawaitambui)
2.Nimehangaika sana na dhamana(pesa imetembea)400,000.Hii ilihitajika kwa ajili ya kufanya tathmini ya dhamana iliyotakiwa.
3.Nimetapeliwa na huyo huyo aliyeniwekea dhamana na ni mtu na heshima zake(usimwamini mtu hivihivi)500,00/-
Nimelipia gharama za mawakili.400,000/-.Huyu alinifanyia kwa kuwa ananijua
Mpaka leo naishi kama kiokote,heshima hamna tena.pesa napata za kuokoteza hivyo nafanya kazi za dharau sana!
Vitu vingi nishauza!!
Pesa inanitesa haswaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app