Ni halali ndg Edward Lowassa kuitwa 'Waziri Mkuu mstaafu'?

Nilikua sijafikiri chochote kuhusu waziri mkuu mstaafu, ila saizi nimeona kweli haina mantiki. Hakustaafu huyu alijiuruzu, saizi nimefunguka
 
Hata kama bado ni mbunge the thing here ni kwamba alishawahi kua PM na si kila mbunge lazima awe PM..kua PM itifaki lazima izingatiwe..nyie vp! maswali gani haya jamani af mnajiita ma great thinker?? mbona hamjiulizi mwalimu alie kufundisha darasa la kwanza hata ipite miaka mia utamuita tu mwalimu hata kama alistaafu??
hata nyani huwa anacheka anapoona makalio ya mwenzake
 
kwasababu uadilifu wa tanzania unategemea nani ana pesa zaidi............. hata liyumba akitoka jela tutasema mfungwa mstaafu!!
tumezidi kuwaogopa wenye pesa ndio maana tunawaita wastaafu badala ya WAJIHUZULU
 
Hata kama bado ni mbunge the thing here ni kwamba alishawahi kua PM na si kila mbunge lazima awe PM..kua PM itifaki lazima izingatiwe..nyie vp! maswali gani haya jamani af mnajiita ma great thinker?? mbona hamjiulizi mwalimu alie kufundisha darasa la kwanza hata ipite miaka mia utamuita tu mwalimu hata kama alistaafu??

Umekurupuka hujaelewa swali kwa wewe ambaye unafikiri ni Great Thinker kuliko wenzako.The thing here ni kwamba EL HAKUSTAAFU ALIJIUZURU!
 
Anaitwa waziri mkuu mstaafu hasa na CCM ili kuhalalisha kupewa mafao ya mawaziri wakuu wastaafu.
Kumbuka ma-PM wastaafu wote wanagharamiwa na serikali mshahara wake, mshahara ya waklinzi wawili,
housegirl mmoja, matibabu, safari za nje at least 2 kwa mwaka, dereva, ofisi, mafuta ya gari etc. Hayo
marupurupu yote EL anayapata kama wanavyopata Familia za akina Kawawa, Sokoine, na waliohai kama
Msuya, Malichela, Sumaye, Salim, Warioba etc. Kama wakimuita waziri mkuu aliyejiuzuru anaweza kuyakosa
hayo marupurupu. Hiyi ndiyo maana yake kwamba hakukutana na JK bararabani! This is an Institutional
corruption under CCM (I hate them).

Mtakumbuka Maalim Seif alikuwa hapewi mafao ya Waziri kiongozi kwasababu alifukuzwa. Maalim ameanza
kulipwa baada ya mwafaka wa CUF na CCM.

I like that! Wewe ndie umejibu swali. Ukweli utabaki pale pale kwamba anaitwa waziri mkuu mstaafu ili apewe stahili zote za uwaziri mkuu wakati hapaswi kupewa kwasababu hakustaafu ila alistaafishwa na umma. Big up man!
 
Anaitwa waziri mkuu mstaafu hasa na CCM ili kuhalalisha kupewa mafao ya mawaziri wakuu wastaafu.
Kumbuka ma-PM wastaafu wote wanagharamiwa na serikali mshahara wake, mshahara ya waklinzi wawili,
housegirl mmoja, matibabu, safari za nje at least 2 kwa mwaka, dereva, ofisi, mafuta ya gari etc. Hayo
marupurupu yote EL anayapata kama wanavyopata Familia za akina Kawawa, Sokoine, na waliohai kama
Msuya, Malichela, Sumaye, Salim, Warioba etc. Kama wakimuita waziri mkuu aliyejiuzuru anaweza kuyakosa
hayo marupurupu. Hiyi ndiyo maana yake kwamba hakukutana na JK bararabani! This is an Institutional
corruption under CCM (I hate them).

Mtakumbuka Maalim Seif alikuwa hapewi mafao ya Waziri kiongozi kwasababu alifukuzwa. Maalim ameanza
kulipwa baada ya mwafaka wa CUF na CCM.

I like that! Wewe ndie aliyejibu swali. Ukweli utabaki pale pale kwamba anaitwa vile ili apewe stahili zote za mawaziri wastaafu. EL hakustaafu ila alistaafishwa na umma. Big up man!
 
Na jana katika mazungumzo na Kisu wa TBC1 alisema watu waige mfano wake katika kuwajibika!
 
Huyu kweli mstaafu, maana alistaafu baada ya muda wake kuisha . Huyo L wenu alikubali maufisadi yake kwa kukubali kujiuzuru bila kukanusha tuhuma. Hajastaafu ameachishwa kwa manufaa ya umma, aende akalime na kufuga huko umasaini uongozi hauwezo si mwadirifu.
alistaafu lini?hakugombea na ana makinda akapigwa chini?
au ukishaangushwa ndipo ustaafu unaanza? na kwa nini usiwe unatangazwa na wasimamizi wa chaguzi<

fikiri upya kaka.
 
Hawa wanaomwita wazir mkuu mstaaafu ni wale wapambe wake wanaofanikisha mkakati wa FISADI huyu kuwa RAISI wa Danganyika. Hawataki kukubali kuwa mzee hana sifa ya kuitwa mstaafu basi wamuite waziri mkuu wa zamani kama mjiuzulu haijakaa sawa!! wasiogoge kumuita mjiuzulu mbona mwinyi aliwahi kujiuzulu na haikumzuia kuwa Raisi?
 
hata kama bado ni mbunge the thing here ni kwamba alishawahi kua pm na si kila mbunge lazima awe pm..kua pm itifaki lazima izingatiwe..nyie vp! Maswali gani haya jamani af mnajiita ma great thinker?? Mbona hamjiulizi mwalimu alie kufundisha darasa la kwanza hata ipite miaka mia utamuita tu mwalimu hata kama alistaafu??
sio lazima uchangie hata kama hujaielewa vizuri mada husika maana unaleta uhalo humu jamvini
 
Wakati nyie mnaendelea kubishana mwenzenu anakula bia taratiiiiiiibu na ustaafu wake lol.
 
Jizi huwa alijiuzuliia,huwa linafukuzwa kwa aibu linazozipata,sasa limeamia makanisani,ila nasikia lilitaka kumwaga mboga kwenye nec,kamwwenyekiti acha kahahe,unalichezea JAMBAZI nini!alikua analitea zake zakizaramu!
 
kujiuzulu ni kuacha kazi au kulazimishwa kuacha kazi kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo kama iliyo mkuta Mh. Lowassa. kustaafu wakati wako wa kazi unakuwa umefika na huna budi kuendelea na kazi tena! kwa mfano ukiwa umetimiza miaka 65.

'..huna budi kuendelea na kazi..' kiswahili kimekupiga chenga mkuu! Yapaswa kuwa '...huna budi kuacha kazi...'
 
mimi nahisi kuna watu huwa hawalali usingizi wa sababu ya huyu EL. Sion maana ya hii topic. vyovyote mtakavyomwita yeye hajali anasonga mbele. Hivi kwa nini mnaumiza vichwa kwa mtu ambaye hata kujibu hajibu? unafikiri yeye hana akili? ana mengi ya kuwaza yenye maana kuliko nyie mnaowaza kila siku kuzua jambo baya juu yake. Mungu wake anampigania na yuko naye kwa kila jambo. Na siku ya Mwisho mtaumbuka wote mnaomchafua kwa mabaya. Hata zuri lake alilofanya Hamuyaoni ila mabaya ndo yanaonekana
 
Hakuna ambaye ananyimwa usingizi na binadamu katika dunia hii kama wewe ndio unanyimwa usingizi basi ndo wa kwanza. kama huoni tatizo yeye kuuitwa mstaafu basi kaa kimya! hapa watu wanapeana upana wa kufikiri na kujua jambo moja au lingine. u the kind of people that just sit n let others do what they feel its should be done hata kama ni kibaya! open ur eyes if got them you fool!
 
Basi sisi wana JF tuwe tunamwita Mheshimiwa Waziri mkuu aliyejiulu.
 
Hata kama bado ni mbunge the thing here ni kwamba alishawahi kua PM na si kila mbunge lazima awe PM..kua PM itifaki lazima izingatiwe..nyie vp! maswali gani haya jamani af mnajiita ma great thinker?? mbona hamjiulizi mwalimu alie kufundisha darasa la kwanza hata ipite miaka mia utamuita tu mwalimu hata kama alistaafu??
Ni makosa kumuita Raisi,Waziri,mkuu wa mkoa n.k "mstaafu". Hawa wanastahili kuitwa "aliyekua".
Retired=mstaafu
Former=aliyekua
Mstaafu ni Mtu aliyeacha kazi/wadhifa kwa sababu ya umri. Umri huu hutambulishwa mfano CHEO cha kepteni katika jeshi umri wa kustaafu ni miaka 47. Vyeo vya kisiasa havijatambulishwa Kama ulivo mfano hapo juu. Raisi anaacha wadhifa wake kulingana na maelekezo ya katiba na sio umri.
 
Naomba wanaJF mnisaidie katika jambo hili ambalo huwa linanitatiza sana kila ninaposoma magazeti na kusikiliza radio ama TV zetu. Hivi Lowasa ni waziri mkuu mstaafu? aliyejiuzulu ama aliyefukuzwa?

Ninavyoamini mimi ni kwamba huyu bwana sio mstaafu maana aliondoka madarakani kabla ya muda wake kufikia kikomo, mstaafu kwangu mie ni kama Sumaye (niko tayari kusahihishwa). Naamini Lowasa hakujiuzulu lakini aliandika barua ya kuomba kujiuzulu kwa JK na JK hakuijibu barua yake ya kukubali kujiuzulu kwake lakini badala yake alivunja cabinet na kumuondoa Lowasa na wenzake.

Kutokana na hilo naamini (tena niko tayari kusahihishwa) kuwa Lowasa sio waziri mkuu aliyejiuzulu. Na kutokana na hilo, JK alipovunja baraza la mawaziri alimtimua Lowasa, karamagi,l Bangusilo, Dialo, na wengine wengi. Hii inanifanya nione kama huyu ni waziri mkuu aliyetimuliwa madarakani.

Naomba mniambie wana JF kama mtazamo wangu katika huyu EL ni sahihi ama niko nje ya mstari!
 
Back
Top Bottom