Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
Kwanini walipwe na fedha za Umma wakati wanafanya kazi za chama?
Siasa kwa ujumla wake inahudumiwa na serikali ileile kwakodi ya wananchi. Hivi unafahamu kwamba vyama vya upinzani vinalipwa ruzuku(kodi ya wananchi). Malipo ya viongozi wa vyama yanatokana na hiyo ruzukuambayo ni kodi kupitia serikalini. Wabunge wanawakilisha vyama nao wanalipwakupitia kodi za umma.
Jaribu kufuatiliakila chama kinakamata ruzuku kiasi gani? zote hizo ni fedha za umma