klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,147
its a million dollar question. But for me I always have this confidence that I can turn hater into Lover. I did it in few occasions and it worked, it started as a nightmare and end up in real perfect match. BUT if you are not Klorokwin then DONT TRY THIS AT HOME. ni bora mkaachana.Hivi hebu tufikirie na upande wa pili...............wewe umeolewa/umeoa mtu ambaye unampeeeenda sana lakini yeye hakupendi na unalijua kabisa kuwa hakupendi labda kakubali kukuoa/olewa kwa kuwa kulikuwa na shinikizo flani. ......... hakuabuse wala kukukaraisha ila tu hana raha na wewe. Utafanya nini?
Chauro..FL1 kuna mada nikiziangalia huwa zinanipa wakati mgumu sana kusema lolote, mioyo yetu huwa inabeba siri nzito sana na wakati mwingine huwa ni ngumu hata kuzisema what if kama unampenda sana,halafu yeye anapenda kwingine utajuaje?mambo mengine ni kuyaacha yalivo as far as ananiheshimu na kutimiza wajibu wake naamini napendwa hata kama sivo ndivo.
Haifai Avatar:A S-rose:
Kwahiyo ile Nightmare ya INFIDELITY ikaja kuwa a real perfect matchits a million dollar question. But for me I always have this confidence that I can turn hater into Lover. I did it in few occasions and it worked, it started as a nightmare and end up in real perfect match. BUT if you are not Klorokwin then DONT TRY THIS AT HOME. ni bora mkaachana.
Chauro..
.............Being true to the truth.....life will never be the sameHalafu wewe..................!:dance:ngoja ninyamaze msinipige faini humu.
FL1 kuna mada nikiziangalia huwa zinanipa wakati mgumu sana kusema lolote, mioyo yetu huwa inabeba siri nzito sana na wakati mwingine huwa ni ngumu hata kuzisema what if kama unampenda sana,halafu yeye anapenda kwingine utajuaje?mambo mengine ni kuyaacha yalivo as far as ananiheshimu na kutimiza wajibu wake naamini napendwa hata kama sivo ndivo.
.............Being true to the truth.....life will never be the same
Ndio maana Jide aliimba usiusemee moyo
Lakini pale madhabauni huwa tunasema kwa msaada wa mungu nisaidie.
Hebu na mie ni zip my lips
I will do an apology with remedy may be you will listen me:biggrin1::biggrin1:Hhaaaaaaa haa nimekubali umenikamata!
Ankal nani kakwambia uweke part 2? hii movie ina hati miliki banaKwahiyo ile Nightmare ya INFIDELITY ikaja kuwa a real perfect match
I will do an apology with remedy may be you will listen me:biggrin1::biggrin1:
Ankal nasikia siku umekaimu nafasi ya Invizibo na umeongezewa marupurupu na wamekupangishia nyumba Mikocheni wamekuhamisha Tandale hongera banaaAnkal nani kakwambia uweke part 2? hii movie ina hati miliki bana
Hivi hebu tufikirie na upande wa pili...............wewe umeolewa/umeoa mtu ambaye unampeeeenda sana lakini yeye hakupendi na unalijua kabisa kuwa hakupendi labda kakubali kukuoa/olewa kwa kuwa kulikuwa na shinikizo flani. ......... hakuabuse wala kukukaraisha ila tu hana raha na wewe. Utafanya nini?
Thanx for the addition point mkuu!..7. Siku hizi kuna sababu ambayo ni nzito zaidi. Wenyewe wanasema KUONDOA MKOSI: Hii ipo kwa akina dada.
Unahisi atakubali uondoke na watoto wake??Avatar
siwezi kuwaabandon watoto wangu kwa mtu ambaye hakuwai kuwa na mapendo kwangu
wengine wanaona watashindwa kulea watoto pindi wanapotalikiana hakuna kitu ni kujiamini
na kuwa na mikakati na mipangilio ya maisha. watoto wangu wataambatana nami popote nitakapo kwenda
Haya mambo nahisi ni muhusika tu ndio anajua atafanyaje, ila naona mtoa mada yamemfika haswa, lil ndoa hz:biggrin1:Gaga huu mtihani maana unaweza kuwa na uhusiano nje mara mhusika nae anatangaza ndoa au anahamia mbali na kuanza maisha mengine
sijui utatafuta mwingine tena , La ndoa ivunjwe swirry cause mambo ya cheating yanaumiza sana pale mmoja atakapogunda anaibiwa ,ndo maana watu wanachomana visu ,wanapigana shaba kama Afisa Mipango pale Dom haya yote ni mapenzi ya wizi..
As far as i know... Tungeingia kwenye udini endapo kama ningeuliza hivyo...Probably, the question here could be if una haki ya kuachana na mtu uliyemwoa/uliyeolewa naye.
Majibu ya swali hili yangekupa majibu ya swali lako!