Tungejitahidi kuelekeza akili na nguvu zetu ktk kujenga nchi pia kutafuta maendeleo BINAFSI, mbona uchaguzi umeshapita aliyepata kapata ,tukiendelea kuhoji nani kapata nini ,tutaishia kupata MAONO,hatimaye tutaenda KUTUNZWA NA MAKAKA WAZOEFU WA KISONGO!
Laana ni mbaya sana !Leo nae anaisoma namba. Tunaongea lugha moja sasa. Maana nae anadaiwa hatari
Lengo ni kuweka maangalizo kwa vizazi vijavyo kwamba kuudanganya umma kwa sababu ya kutaka kubebwa haifai , maana hata ukibebwa wewe katikati ya umasikini wa kutupwa haina maana yoyote , zaidi ni dhambi kwa Mwenyezi Mungu .Tungejitahidi kuelekeza akili na nguvu zetu ktk kujenga nchi pia kutafuta maendeleo BINAFSI, mbona uchaguzi umeshapita aliyepata kapata ,tukiendelea kuhoji nani kapata nini ,tutaishia kupata MAONO,hatimaye tutaenda KUTUNZWA NA MAKAKA WAZOEFU WA KISONGO!
Na kweli anabebwa maana king'amuzi chake usipolipa hupati channel yoyote. Kwa maana hiyo, hata tbc ambayo inaendeshwa kwa kodi zetu lazima uilipie ndiyo uione ndani ya Continental!!!Dah! Sahara Communication ilipewa ahadi hadharani kwamba itabebwa. Upendeleo wa wazi kabisa lakini kwa kuwa ulifanywa na waliozoeleka kufanya madudu watu hawakushangaa!!
toto feliya huyo Kaka yenu....Halafu wafuasi uchwara watakuita 'Mandela' wa Tanzania. Fadhaa ya karne hii .
Kwani siyo huyu wa Startv ?hivi kuna diallo ngosha?
Chadema wameshindwa kujenga ofisi kwa miaka mingapi??Huyu jamaa ni mwanaccm kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii , anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaccm mwenzake Reginald Mengi .
Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji , kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa ccm tu , na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria , vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.
Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni ccm pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii , HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI ( maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60 , hivyo hawataweza kwa miaka mitano ) , ALILENGA KUPATA NINI ?
Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada , hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana !
Una uwezo mdogo sana !Chadema wameshindwa kujenga ofisi kwa miaka mingapi??
Ya nini,ili CCM mje kuvamia na polisi+usalama wenu?Mtakaa sana.Chadema wameshindwa kujenga ofisi kwa miaka mingapi??
wapiga dili wanahela na wanakula good time kuliko lumumba yote. Wapiga dili wana akili na hela zao sasa hivi zinapiga biashara china nchi jirani. Wala kodi zenu hawazijui. Mnau uchumi kwa akili za magazeti ya mwanaspoti na watanzania.Kweli wapiga dili mnaendelea kuchanganikiwa threads za u bahaluli hizi
Je mbeleko imetoboka ?Sahara Assets Tsh 100bn, kabla ya ahadi ya kubebwa. Huyu jamaa haangalii hilo.
Faida yake imeonekana mkuu .Kweli wapiga dili mnaendelea kuchanganikiwa threads za u bahaluli hizi