Melvine
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 665
- 1,261
Alie marangapi??? Labda mseme Raundi hii mtaondoka na rohoYani mdude siku akinasa,atalia mpaka makamasi yatokee maskioni
muache aruke ruke tu,watu wana m zooom kimya kimya,ipo day ata nasa.
Nimeshangaa Sana hata hilo nalo anapinga..!Huyo mdude chadema yeye hata ajenda hana ni mtu wa kulukia matukio tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa sana..
Alikuwa akimaanisha watu wawe na zoo, zoo unakuwa na kibali..sijui kiswahili cha zoo ni nini
Namanyele