Ni dua gani ya kumuombea mtu aliokudhulumu ili apate mikosi?

Usiingilie mamlaka ya Allah ktk kutoa hukumu..
Tunaambiwa kwamba Dua ya aliyedhurumiwa huwa apigi kona,ukiomba inanyooka moja kwa moja mpaka kwa Allah.
Hutakiwi kumuombea mabaya,but mshitakie kwa muumba kwamba amekudhulumu haki yako na yeye Allah atakurejeshea kwa njia nyingine,kisha huyo mdhulumaji wako msubiri siku ya kiyama ili akusaidie mzigo utakakua nao kichwani maana siku hiyo hatokua na pesa ya kukulipa.
Nakupa mfano1..wakati naanza maisha nilikua nikiuza maji kwenye mkokoteni,sikua na acc bank so kuna kakangu nikawa nampa anitunzie maana nilikua nakaa kwake huku nikifanya na kazi za nyumbani kwake za kuhudumia mifugo na kuwapeleka watoto shule,baada ya miaka miwili nikawa nimepata 780,000/= na my bro akakili yes ndiyo pesa aliyonayo na yupo tayari kunipa hiyo pesa,nikamwambia poa ngoja niende mjini kuangalia bei ya mahitaji yangu ili ukinipa pesa nikanunue nirudi kwa wazazi.Nikaenda mjini kuulizia jembe la kukokotwa na ng'ombe lilikua 75,000/=,baiskel mpya 70,000/=,Godoro kubwa dodoma 28,000/=,na bahadhi ya mahitaji mengine ikiwamo vitenge na nguo za mzee na wadogo zangu.Ilikuja kama 300,000/= for shopping.Then nyingine ningeenda kununua ng'ombe home ili nianze maisha ya kujitegemea.
Niliporudi nikamwambie nipe kesho asbh hiyo pesa ili nifanye manunuzi yangu......sikuamini aliposema tupige mahesabu nilikua nakula bei gani kwa siku ili anikate kabisa then change itakayobaki ndio haki yangu,baada ya mahesabu kupigwa nikakuta nadaiwa 30,000/= na kaka yangu huyo wa mama mkubwa...nikamwambia basi nikopeshe elfu10 ili nitumie kurudi nyumbani nikifika home ntapiga vibarua ntamtumia pesa yake..jamaa akakataa..ikanibidi nikae tena mwaka mzima bila kazi...lakini nikakumbuka kuna mungu,mungu ambaye hajui kumuonea mtu..nikamlilia mungu..haikupita wiki1 moja nikapata kibarua cha ulinzi ambacho ndicho kilichonipelekea leo hii mimi Wonderful mambo yangu yakawa supa na kupitia mlango huo huo wa kazi za ulinzi niliweza kujikuta siku moja nikiwa Europe huku familia yangu ikiishi vzr home.Now days yule aliyenidhulumu ni masikini na biashara zote zilikufa,magari yakafa and now days anafanya vibarua huko maeneo ya Dodoma na elimu yake ya fm6..mie wa darasa la7 nakula good life.
Wasalaam!
 
Ushauri wa ovyo kuwahi kuonekana huku duniani! Kizazi chake kimehusikaje ktk madhambi yake:">))*&$$, Acha utoto mimi namshauri amsamehe ama amtokee na panga kabisa.


Rubiikimimi
 
huyo dawa yake kifiro tu hamna namna.

Tafuta vijana hata 6 wakamfir.e kisha wamtoboe macho .
Ila hakikisha unatengeneza mazingira asikujue kabisa.

Tulia hata miezi miwili au hata mwaka ukiwa unacheka nae kama kawaida ili ajue umesahau .
Kweli wewe mafia
 
Ushasema ww muislamu... kuna ile sala yetu haijawahi acha mtu salama inaitwaje vile... au nayo imegonga mwamba?
 
Wakuu kwanza samahanini kwa kuwasumbua, Pili. Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri wenu kwa kilichonipata. Nitaenda kuwahadithia kwa kifupi sana
.
Mimi ni kijana wa kiislamu, naishi Dar, mwezi mmoja uliopita au mwezi na nusu nilidhulumiwa pesa tsh 2.7M ( million 2 na laki 7 ) sikwambii maumivu nilionayo moyoni, yaani naumia sana halafu alionidhulumu ni mtu wangu wa karibu sana.

Mtu niliemuamini kwa kila kitu, nimekuwa nikiomba Mungu, Mungu naomba unilipie, mpe mabalaa na mikosi ya kila aina, huwezi amini hata saivi ninavyoandika uzi huu nimetoka kuomba, lakini naona bado Mungu hajanilipia.

Je nifanyaje, kuna dua gani ya kumuomba Mungu ampe mikosi? Yaani kiasi kwamba ajute kula jasho langu, mimi ndio kwanza mwaka huu nimefungua kibiashara changu nimeanza kutafuta maisha alafu ananidhulumu.

Nifanyaje? Ndugu zangu naumia mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kizuri kama kudai haki yako kwa njia yoyote inayowezekana, ikishindikana muachie Mungu mwenyewe ahukumu, wala usihangaike kumuombea mabaya, kumbuka wema hauozi, dhambi haisahauliki na mlipaji hafi abadan.

Jamii Forums mobile app
 
Tafuta shehe yeyote wakiswazi hasa manzese, buguruni, ilala, kilwa, bgmoyo, pemba, handeni au pangani.
Wakusomee albadir au rakaa mbili tu kene surat yasin.
 
Anza kujiuliza kwanza kuhusu hiyo biashara mtaji uliupataje? biashara yako unaiendeshaje? labda nawewe unadhulumu pia,MTENDA HUTENDWA.
 
Swali rakaa mbili za Sunna,kisha omba dua ya kumshitakia Mwenyezi Mungu,Usiseme fulani umpatie balaa,Sema Allah ikiwa kiasi changu cha pesa kadhaa alichonidhulumu fulani hapo unamtaja jina lake,nakuachie wewe Allah ndio mwenye kuhukumu,Na ikiwa kama pesa zangu nilipanga nifanye biashara fulani kwa ajili ya kunikidhia mahitaji yangu na familia yangu Ya Allah nakuomba unipe badala yake kiasi chingine,Baada ya maombi hayo unatakiwa usahau na kutomkumbusha huyo mhusika kwani hapo unakuwa ushamkabidhi kesi iyo Allah na wewe unaweza kuendelea na vitu vingine,na hayo tu tena kama unaweza ibada za usiku ni bora zaidi katika kumshitakia Allah
 
Tafuta shehe yeyote wakiswazi hasa manzese, buguruni, ilala, kilwa, bgmoyo, pemba, handeni au pangani.
Wakusomee albadir au rakaa mbili tu kene surat yasin.
Kwanini utumie mashehe wakati dua nzuri ni ile ya kujiombea mwenyewe,muhimu omba dua kisha nuilizia kwa kutoa sadaka tu
 
Wakuu kwanza samahanini kwa kuwasumbua, Pili. Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri wenu kwa kilichonipata. Nitaenda kuwahadithia kwa kifupi sana
.
Mimi ni kijana wa kiislamu, naishi Dar, mwezi mmoja uliopita au mwezi na nusu nilidhulumiwa pesa tsh 2.7M ( million 2 na laki 7 ) sikwambii maumivu nilionayo moyoni, yaani naumia sana halafu alionidhulumu ni mtu wangu wa karibu sana.

Mtu niliemuamini kwa kila kitu, nimekuwa nikiomba Mungu, Mungu naomba unilipie, mpe mabalaa na mikosi ya kila aina, huwezi amini hata saivi ninavyoandika uzi huu nimetoka kuomba, lakini naona bado Mungu hajanilipia.

Je nifanyaje, kuna dua gani ya kumuomba Mungu ampe mikosi? Yaani kiasi kwamba ajute kula jasho langu, mimi ndio kwanza mwaka huu nimefungua kibiashara changu nimeanza kutafuta maisha alafu ananidhulumu.

Nifanyaje? Ndugu zangu naumia mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.
Wengi wetu hatujui kwamba roho ya kisasi inatuumiza sisi wenyewe. Mfano halisi ni wewe mwenyewe unavyosikia maumivu unapoona aliyekudhulumu hapatikani na matatizo kutokana na dua mbaya unazomuombea. Kwa taarifa yako huyo unayemuombea dua mbaya hata hajui kama unamuombea mabaya. Pokea ushauri wa waliosema umshitakie kwa Mwenyezi Mungu dhuluma uliyotendewa.
How?
Unapoomba dua, futa hasira na mawazo mabaya juu ya mtu huyo yaani usimuombee mabaya. Pia muombe msamaha Mungu kwa kumuwazia mabaya huyo mtu. Mwisho omba dua hivi: Mungu ninajua wewe ni Mungu wa haki hivyo ninakuomba uonekane katika jambo hili. Asante Mungu kwa kuwa umesikia dua yangu na ninaamini umenijibu. Amen!
Sharti la dua hii ni kwamba usiendelee kumuwazia mabaya au kuwa na kinyongo juu ya huyo aliyekudhulumu kwa sababu kesi yako umeshamkabidhi Mwenyezi Mungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom