Me nimeuliza swali wewe mwenye kujua utujibu
Maskini ndio akili hizi za team domo,Kama swali ulivyoliona kwenye tittle je ukiwa ni mkristo ukamtongoza demu wa kiislam kipindi Cha mfungo Ni dhambi?bila kufanya mapenzi
Dada mbona unamatatizo kiasi hicho mambo ya diamond yanakujaje humu? Au mada ujaelewa?Maskini ndio akili hizi za team domo,
No wonder,
Lol
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Heeeh kumbe Domo ni Diamond,Dada mbona unamatatizo kiasi hicho mambo ya diamond yanakujaje humu? Au mada ujaelewa?
Ukithubutu kumtongoza Zuchu utafukuzwa kazi.Kama swali ulivyoliona kwenye tittle je ukiwa ni mkristo ukamtongoza demu wa kiislam kipindi Cha mfungo Ni dhambi?bila kufanya mapenzi
Nikiwa mkubwa nataka nije kuwa kama wewe uncle gudume au mzabzab nitembeze mgegedo mpaka basiHapana.si dhambi...wakati wote ni wakati wa chai.
Nikiwa mkubwa nataka nije kuwa kama wewe uncle gudume au mzabzab nitembeze mgegedo mpaka basi
Sent using Jamii Forums mobile app