Ni chakula, tunda au kinywaji gani unaona kipo overrated/underrated?

Mleta mada ulikula pizza gani, au vile vidude wazenji wa forodhani waita pizza?

Githeri/Makande ni namna ya upishi tu na aina ya makande yenyewe (kuna ya mahindi mabichi, makavu na makavu yaliyokobolewa)...

Kwa sisi wapenda misosi, huwa hakuna msosi over or underrated labda uwe umechacha...

Ukitaka uenjoy wali ndondo basi kuna ule wali ndondo uliolala kwenye jokofu, au ulilala kwenye chungu halafu ile morning unaugonga na chai ya maziwa...

Kula mboga za majani zozote zile sijui mchunga, majani ya kunde, majani ya maharage, sukuma, kabichi (ukitaka uinjoi imiksiwe na nyama), kisamvu (hili dude kula kiporo chake na wali nazi)...

Nafasi hata haitoshi hapa...
Unapiga mule mule yaaan,
 
Mtoa mada umeudhihirishia uma kuwa wew ni wa mkoani..

We komaa na kande zako tu mkuu...mi nikiziangalia tu meno yanapata ukakasi

Wew hata urojo utauweza kwel..au mchuz wa oweza...au biriyan + mandi...we wa mkoan ndugu yangu hzo mambo waachie wenyew...ushawai kula mandi ya kuku wa kienyeji halaf kuku nusu..upate na ndizi mbivu..aiseeeeeee
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom