That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,186
- 3,598
Nakazia hapo kwenye wali maharage.Underrated--Wali Maharage/chai na mihogo
Nakazia hapo kwenye wali maharage.Underrated--Wali Maharage/chai na mihogo
Kwanini mnakula funza?Uchafu.........ila bei yake ujipange View attachment 1810521View attachment 1810526
Na akikaidi atapigwa tuNaomba mtu asiguse kitimoto na beer tutakosana
Nikija kumjua aliyegundua hii combination nitamjengea kasanamu kadogodogo kuenzi mchango wake.Nakazia hapo kwenye wali maharage.
Hili dude hili, aloooo.
Sijawahi kuyaona haya makituUchafu.........ila bei yake ujipange View attachment 1810521View attachment 1810526
Ikilala, ukaamka nayo asubuhi halafu ipige mixer... 😀Nikija kumjua aliyegundua hii combination nitamjengea kasanamu kadogodogo kuenzi mchango wake.
Hii kitu inakaa popote kuanzia; breakfast, lunch, supper, dinner.....
Mkuu Sato kabisa?? We ni wa kusini eeh??Samaki wa ziwa Victoria, Sato/sangara ni Overrated & tasteless..
8yrs mishe zangu ni lake zone,ila nilivyokua nasikia story za utamu wa hawa samaki(nikiwa Dsm,home) naona tofauti na uhalisia,kwa minofu kweli wamejaza ila kwa taste binafsi hapanaMkuu Sato kabisa?? We ni wa kusini eeh??
Kuna sehemu niliishi hawajui mafenesi na yapo kibao yalipandwa na mabeberu. Nilikuwa nayala mpaka navimbiwa.Sikumbuki hata aina, mi nilitajiwa menyu nikajilipua.
Inategemea na eneo mkuu, nilikokulia mimi haya matunda hayapo kabisa.
Dagaa wa Kigoma ni overrated. Kilo moja 25,000/=Dagaa zipo underated sana.
Imagine kilo ya nyama ni buku 7
Kilo ya dagaa elfu 12.
Cha ajabu ukila dagaa unaonekana masikini.
Hizo ni takwimu za maeneo ya mijini.
Sheikh umezoea masamaki yalioungwa ma kutiwa udambu udambu mwingi. Sangara , sato, hongwe, mbofu, mbete, ngere, furu acha kabisaaa wachemshwe iwekwe limao na chumvi tuuu wale samaki wana mafuta yake. Kula na ugali wa mahindi mixa wa muhogo. Aseee ukikojoa bao hadi unaisikiamo na anaekojolewa ilo bao atakwambia mbona leo za moto ivooo8yrs mishe zangu ni lake zone,ila nilivyokua nasikia story za utamu wa hawa samaki(nikiwa Dsm,home) naona tofauti na uhalisia,kwa minofu kweli wamejaza ila kwa taste binafsi hapana
Sheikh bao tena,haya bwanaSheikh umezoea masamaki yalioungwa ma kutiwa udambu udambu mwingi. Sangara , sato, hongwe, mbofu, mbete, ngere, furu acha kabisaaa wachemshwe iwekwe limao na chumvi tuuu wale samaki wana mafuta yake. Kula na ugali wa mahindi mixa wa muhogo. Aseee ukikojoa bao hadi unaisikiamo na anaekojolewa ilo bao atakwambia mbona leo za moto ivooo
😂🤣🤣 Apple 🍎🍏 eti yanaishi kistaaKwa upande wangu,
Underrated
Makande: Nimekuwa nikiona watu wakiyadharau sana makande eti kwamba ni chakula cha ajabu ila kwa mimi naona makande hayapewi heshima inayostahili. Jamii zote za makande kama; makande njugu, makande maharage zina mabalaa yake. Halafu itokee siku hiyo likachanganuwa na nyama na pak choi (Chainizi) kwa pembeni. Acheni wakuu, makande matamu bwana.
Zambarau: Huwa najisikia vibaya sana pale haya matunda yanapokuwa hayapewi thamani yake. Ni nadra sana kukuta sehemu panauzwa zambarau. Yaani huwa nikipita njiani naona mazambarau yamedondoka tu na watu hawana hata time nayo huwa najiuliza kwani haya matunda yaliwakosea nini wadau. Haya matunda yametukuza, yametutoa mbali sana.
Zambarau uliweke kwa kipoozeo liwe la bariiidi, aah, acheni aisee!
Overrated
Pizza: Hiiiiii, haya mavitu sijui hata watu wanayapendea nini! Kuna siku nikaamua kujitoa kimasomaso nikanunua pizza bwana ili nami niliburudishe tumbo kimamtoni, aisee. Nilijutia sana hela yangu.
Mafenesi: Kwanza sijui ndo jina lake hilo! Madude flani matunda yake makuubwa yana mavipelevipele, vile vinyama flani vya ndani ndo vinaliwa. Haya matunda ni maarufu sana Dar, utayakuta wauzaji wameyaweka pembeni mwa barabara. Kuna siku nami nikaamua kuyajaribu, aisee ile harufu tu ilinishinda. Buku langu likawa limeenda bure maana nikipofika gheto nikayatupa kwenye mfuko wa taka.
Ma-apple: Haya madude yanaishi kistaa sana hapa mjini maana bei ya apple moja unanunua sahani ya wali. Haya madude yananitesa maana kuna kadada nisipokanunulia basi lazima itokee vita ya majimaji. Ila ladha yake ni sawa na mapeasi tu. Yaani kiufupi ma-apple ni mapeasi yaliyochangamka. Figure tu ndo inayapa kiki hapa mjini vinginevyo yanyekuwa yanauzwa fungu mia kama mapera.
Vipi kwa upande wako?