Ni chakula gani ungekula kila siku bila kuchoka?

Ni chakula gani ungekula kila siku bila kuchoka?

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
Mdau, kila mtu ana chakula anachokipenda sana. Kwa mfano, mimi naweza kula kande kila siku bila kuchoka. Wewe je?
1769076758498.png
 
Ugali (isiwe unga wa sembe) na upikwe kwenye kuni
 
Huwezi kusema unaweza kula chakula fulani kila siku bila kuki kinai,unless otherwise uwe umeshafanya jaribio hilo na ukafanikiwa,

Kinachotakiwa ni kula balanced diet,
Hata chakula ukipende vipi,ukikila kila siku utakikinai tu ndio hulka ya Binadamu ilivyo.
 
Ngumu saana kwa mwanadamu KUTOKUKINAI KITU lazima ukinai tu..

Binafsi mie napenda ugali na kuku wa kienyeji aliyechomwa, pembeni harage na mboga za majani, kikiwa ni kisamvu cha karanga inanoga zaidi
 
Back
Top Bottom