American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 667
- 944
Habari wazee,
Nimeshafanya mazoezi ya kutosha nataka kuanza kutrade, Nahitaji kujua ni Broker yupi anafaa. Sihitaji matapeli au wahunihuni.
NB nimejaribu Kusignup kwa baadhi, ila naambiwa nchi yangu hairuhusiwi.
Naombeni muongozo wataalamu kwa kutrade
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshafanya mazoezi ya kutosha nataka kuanza kutrade, Nahitaji kujua ni Broker yupi anafaa. Sihitaji matapeli au wahunihuni.
NB nimejaribu Kusignup kwa baadhi, ila naambiwa nchi yangu hairuhusiwi.
Naombeni muongozo wataalamu kwa kutrade
Sent using Jamii Forums mobile app