habr zenu wana jf, samahani kama nimekosea jukwaa! Nilitaka mnijuze, ni brad gani bora ya friji. Sokoni kuna brand nyingi siku hz, sanyo, hitach, whilpool, samsung, lg, boss na nyinginezo. Naomba mnisaidie hapa mwenzenyu.
Beko au Samsung lakini tafuta friage ya coil
Beko au Samsung lakini tafuta friage ya coil
rtz, asante sana kwa ushauri. Utazingatiwa. Lkn coil unamaanisha ndani ya fiji au nyuma maana, nijuavyo ya ndani sio frost free! I berg to be corrected sir!
Mkuu, Coil inakuwa ndani freage ikigandisha zile Coil zinaganda zinatengeneza barafu...
Freage zenye feni zinasumbua sana, feni ikifa freage haifanya tena kazi mkuu..ingawa freage za Coil bei yake juu kidogo!
Habr zenu wana Jf, samahani kama nimekosea jukwaa! nilitaka mnijuze, ni brad gani bora ya friji. Sokoni kuna brand nyingi siku hz, sanyo, hitach, whilpool, samsung, lg, boss na nyinginezo. Naomba mnisaidie hapa mwenzenyu.
Mkuu, Coil inakuwa ndani freage ikigandisha zile Coil zinaganda zinatengeneza barafu...
Freage zenye feni zinasumbua sana, feni ikifa freage haifanya tena kazi mkuu..ingawa freage za Coil bei yake juu kidogo!
Kweli mkuu! LG naitumia,ni brand poa sanaLG na Westpoint......