Wazungumze nin huyu jamaa inabidi apambane na hali yake amefwata k au harufuMsaidie mkuu, acha kukata tamaa. Hayo yanazungumzika na mambo yanasonga, unless kama ulikuwa unataka kusafisha rungu usepe.
Kwa naye chini mzungumze, not to run away.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungumze, ampeleke hospitali kwa madr wa magonjwa ya wanawake, atatibika mbona,Wazungumze nin huyu jamaa inabidi apambane na hali yake amefwata k au harufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa mwanamke siyo muonekana wa njeHuwezi amin dem ni mkali tena ni Wakishua ila ndo hivyo tena
Mkuu kuna demu hadi leo akinitafuta nakataa appointment yake coz of the stinky smell I felt during our first date.Badilikeni tena wale wanaojiona wako morfologically pouwaHabari wanabodi,
Naandika Uzi huru nikiwa na gadhabu kweli.
Unakuta mtu unaomba meeting ww na mpnz wako,mnakubaliana mkutane saa flani.
Muda ukifika dem anakuwa bado hajafika eneo la tikio,unaamua kumcall,honey mbona hujatokea?
Anakukibu sorry nilikuwa naoga.
Akifika eneo la tukio mnaanza majamboz,mara ukipeleka mkono sehem nyeti na kuunusa unakumbana na harufu Kali!!!!
Sasa me huwa najiuliza hivi huyu dem si kachelewa kufika kwasababu anadai alikuwa anaoga?sasa inakuaje mtu alieoga anuke kiasi hiki?au alioga maeneo mengine huku hapahusiki??
Wadada hebu badilikeni,haiwezekani kila kukicha tunawaambia kuhusu usafi sehemu zenu lakini hamuelewi.
Kama vip acheni kuoga kabisa ili tujue kuwa hamuogi,kuliko kujinasibu mnaoga kutwa mara tatu,haliyakuwa bado mnatoa harufu kali!
Ungemwambia ngoja nimtoe panya,kisha oza.Usiombe ukakutana na papuchi itoayo harufu ni balaa.
Harufu huwa Kali kama maziwa fresh yaliyooza.
Kuna siku nilikuwa na toto ile napalpate papuchi harufu Kali ikaja nashangaa ananiuliza eti harufu ya nini? Nikazuga kumwambia hapana labda kuna panya chini ya kitanda.
Hadi Leo cjagonga kila nikiwaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wenu mnastink ile kinoma. Change you ladiesSio wadada tubadilike......huyo girlfriend wako kama ananuka sio wote tunanuka......kwani umeshindwa nini kumwambia ukweli kama ananuka au unamuogopa
Kama girlfriend wako ananuka na hauwezi kumwambia abadilike basi pambaneni na hali zenu
Duuuuh nimetokwa na povu aiseee
Yaan ni shida mkuu,tunapenda papuchi zao lakini sio kwa smell ile.Mkuu kuna demu hadi leo akinitafuta nakataa appointment yake coz of the stinky smell I felt during our first date.Badilikeni tena wale wanaojiona wako morfologically pouwa
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa ,kanitishaHaha
Basi we noma utakuwa ulitembea na wengi mpaka ukajua kama wengi wetu tunastink
Dooh ili asije tena kulalamika ....ni kwwli bwana baadhi yenu wanatia aibu unajua mwanaume malaya anakutana na vitu vingi sanaBasi sawa tutabadilika, tutajifunza kujisafisha vizuri ili ukija kuweka kidole tena ukikinusa usiskie harufu.