Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

1.mwanaume wa kweli,ni mjasiri,angemwambia mwanawake hapo hapo.

2.Mwanamme wa kweli,asingeleta mada hii hapa,kuna vitu ukishakua,huwezi ukaviongea hadharani.

utoto unakusumbua,ndio umeanza kufanya ngono,pole weeeeeeeeeeeeeeeee
Humu JF hamba siri, labda uwebl unamjua.
Hata hivyo ni vitu vya kawaaida ambavyo vipo,

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Hahhaahahhaaaaaaa aiseee kumbe kuna watu wanapenda hiyo harufu
Ni kweli sio porojo kuna jamaa kama mwanamke akiwa na lile shombo jamaa anasema anapata mzuka kweli kweli wa kucheza kidalipo. Na jamaa mwingine my childhood friend alikuwa ananishauri ujinga tukiwa std6 primary anasema ukienda kupiga show ukimaliza usioge wala kunawa basi lile shombo likikunasa mwilini warembo hawaruki unakuwa kama chatu na mbwa. Mbwa anajipeleka mwenyewe huku analia. Hahaaa jamaa alikuwa mjinga sana. It's kind of fetish thing.
 
Ni kweli sio porojo kuna jamaa kama mwanamke akiwa na lile shombo jamaa anasema anapata mzuka kweli kweli wa kucheza kidalipo. Na jamaa mwingine my childhood friend alikuwa ananishauri ujinga tukiwa std6 primary anasema ukienda kupiga show ukimaliza usioge wala kunawa basi lile shombo likikunasa mwilini warembo hawaruki unakuwa kama chatu na mbwa. Mbwa anajipeleka mwenyewe huku analia. Hahaaa jamaa alikuwa mjinga sana. It's kind of fetish thing.
Duuuh
 
Nikiwa mwaka wa pili chuoni nilikutana na bi-dada mmoja huyo alikua na harufu kali mpka mashine ikashindwa kufanya kazi
 
Sio wadada tubadilike......huyo girlfriend wako kama ananuka sio wote tunanuka......kwani umeshindwa nini kumwambia ukweli kama ananuka au unamuogopa

Kama girlfriend wako ananuka na hauwezi kumwambia abadilike basi pambaneni na hali zenu

Duuuuh nimetokwa na povu aiseee
Safi sana.nipm nikupe zawadi yako .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom