Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Ni bora msioge kabisa ili tujue moja,kaaah!!!

Tatizo kucha zao ndefu inawafanya wasiogeshe K vizuri. Zile kucha ni adui wa maji, asilimia kubwa huingiza mkono ktk mfuko wa nylon afu ndo huoshea K, sasa nylon huteleza haisafishi vizuri, mwisho anaamua aitupie tu maji sha ssha sha afu anaikausha kwa nje. Baada tu ya nusu saa uchafu ulioko ndani huanza kusogea midomoni mwa K, na km alikuwa anajiandaa kwa mapenzi yale maji maji huaharakisha kutoka na uchafu wenye harufu kali ya uvundo wa samaki waliooza... Kuepuka hili bidada achana na kucha ndefu, na siku unakutana na mtu wako hakikisha kachukua self contained ili ujidawadhe vizuri kabla ya gem na baada ya gem moja. Siku hauna gem osha k kwa maji safi matupu bila sabuni ili usiue normal flora (askari) wanaolinda k yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana...
Muelekeze ili ajirekebishe na siku nyingine asirudie...

Au mngeanzia bafuni ingekuwa vizuri zaidi...

Note: hupaswi kuudhika, ila unapaswa umuelekeze na kumuelewesha...


Cc: mahondaw

Duhhhhhhhhhhh kazi anayo huyo kunusa vidole tena kha!


Owkey itabidi tujiswafi vizuri kila engo . Nadhani hio ndo point ya mtoa mada


Mahondaw wa Smart911
 
Wengine ugonjwa wao hicho kiharufu. Bila hicho anahisi kapewa nyama feki ya kichina. Kama mbuzi ananusa na kupiga kelele akipata ile harufu a.k.a Ki-wolper.
Hahhaahahhaaaaaaa aiseee kumbe kuna watu wanapenda hiyo harufu
 
Pole sana...
Muelekeze ili ajirekebishe na siku nyingine asirudie...

Au mngeanzia bafuni ingekuwa vizuri zaidi...

Note: hupaswi kuudhika, ila unapaswa umuelekeze na kumuelewesha...


Cc: mahondaw
Nimekusoma mkuu,msalimie Shem mahondaw
Pole sana...
Muelekeze ili ajirekebishe na siku nyingine asirudie...

Au mngeanzia bafuni ingekuwa vizuri zaidi...

Note: hupaswi kuudhika, ila unapaswa umuelekeze na kumuelewesha...


Cc: mahondaw
 
Tatizo kucha zao ndefu inawafanya wasiogeshe K vizuri. Zile kucha ni adui wa maji, asilimia kubwa huingiza mkono ktk mfuko wa nylon afu ndo huoshea K, sasa nylon huteleza haisafishi vizuri, mwisho anaamua aitupie tu maji sha ssha sha afu anaikausha kwa nje. Baada tu ya nusu saa uchafu ulioko ndani huanza kusogea midomoni mwa K, na km alikuwa anajiandaa kwa mapenzi yale maji maji huaharakisha kutoka na uchafu wenye harufu kali ya uvundo wa samaki waliooza... Kuepuka hili bidada achana na kucha ndefu, na siku unakutana na mtu wako hakikisha kachukua self contained ili ujidawadhe vizuri kabla ya gem na baada ya gem moja. Siku hauna gem osha k kwa maji safi matupu bila sabuni ili usiue normal flora (askari) wanaolinda k yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeuwa mkuu,wape ukweli
 
Back
Top Bottom