Ni biashara ipi nzuri kuifanya mazingira ya chuo?

Jordi alfred

Member
Oct 24, 2019
20
5
Habarini wote,

Kama kawaida leo nimefikiria nimekuja na swali jipya.

Mimi nipo Dodoma chuoni nasoma but nahitaji kuendesha shughuli zangu za kipato na pia mimi ni artist hasa katka suala la uchoraji (drawing) mzuri lakini naona art yang hailipi kutokana na bado sijawa na skills na expirence kubwa sana.

Lengo ni kujua biashara yenye mtaji mdogo kama mjasiriamali ili niweze kujikimu mwenyewe kimaisha au niendelee na art?

IMG_20200101_123939.jpeg
IMG_20191030_071226_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta laki mbili tafuta tshirt v neck plain (rangi moja) za mtumba .Kwa sehemu nilipo wakataji wanaziuza buku 4,ikitundikwa buku10.Wewe zitembeze room to room .Usikopeshe anayetaka kukopa atangulize kidogo ,kidogo akimaliza anachukua mzigo wake.Wewe deal na tshirt tu tena v neck rangi moja mtumba.Utakua unaagiza watu may be Karume kwa buku3-4.We unauza 10.
 
Jordi alfred, fungua channel YouTube, tengeneza 2d animations. Kuna stori nyingi za mtaani unaweza kuziundia animation. Una kipaji kikubwa, itakuchukua muda kuanza kula hela (walau miezi sita) lakini ukianza unaweza kuendelea hata baada ya kumaliza chuo. Tafuta rafiki yako anaeweza kuandika mazungumzo, huwezi kufanya vyote peke yako. Unaweza ukachora stori ya timu ya mpira, angalia YouTube kuna watu wana views nyingi kwa michoro iliosimama, wewe ukiweza kuitembeza unaweza kupata hata dili la kufanya matangazo. Ningekushauri uchore picha za watu kisha walipie lakini kwa Tanzania itakua hutumii kipaji chako to the fullest. Jaribu animation, una mkono wa kuchora. Nunua tablet za kuchorea zilizotumika ni bei rahisi. Kompyuta unaweza kutumia hata za chuo. Mungu akubariki, una kipaji kikibwa na adimu sana.
 
Bandiko lako halieleweki.
But Anyway unajua kuchora
Me n artist lakin piah nasoma chuo jeh biashara ipi inaweza kunkim kimaisha kwa upande wa art yang ya kuchora ainilipi kutokana na kuwa bado sina skills kubwa na kutambulika hivyo niifanye sanaa yang kuwa sehem ya kipato au issues nyingne tofaut na hip nzuri??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uza makava ,viurembo vya cm weka protector ,chajiza cm majagi yaumeme ear 4n ,sajili laini zamitandao yote hapa akikisha wanaweka vocha kwamwenzi hukosi 700K jumla NOTE : wekamazoea sana nawalimu wenyevyeo vikubwa chuon pamoja nawalinzi ili wasikusumbue .Ticha akijitokeza anahtaji vocha mpatie usimdai pesa msajilie lain bure atakua rafkiyako milele , nahawatajaji pindi utakapoweka meza ndani yachuo nakufanya mbishezako cz watakua wanakufaham

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najazia kama unakaa nje yachuo yengeneza karanga zakukaanga zoeana namiliki waduka lachuo ikiwezekana chukua kama wikimbili mwonge vocha yabuku akikuzoea penda kwenda kumuungisha napiganae story jipendekeze after hapo mwombe uweunamuuzia karanga jumla hatoweza kukukatalia NoTE: karanga pikavizuri naufunge vizuri kwakua nichuoni funga za 500 na 200 kwa wiki utakua unatengeneza hadi 50 kg faida Mara 2 sijui huko karanga kamazipo hizi nyekundu Hapa upande wamasomo ni mwendo wakuzima moto ila ukizoeleka.......... Nimechoka kutype ila sijaandika nsivyovijua Mimi pia nimwanachuo nafanya vyotenlivyoandika kama unaswali ni pm ntakujib
Uza makava ,viurembo vya cm weka protector ,chajiza cm majagi yaumeme ear 4n ,sajili laini zamitandao yote hapa akikisha wanaweka vocha kwamwenzi hukosi 700K jumla NOTE : wekamazoea sana nawalimu wenyevyeo vikubwa chuon pamoja nawalinzi ili wasikusumbue .Ticha akijitokeza anahtaji vocha mpatie usimdai pesa msajilie lain bure atakua rafkiyako milele , nahawatajaji pindi utakapoweka meza ndani yachuo nakufanya mbishezako cz watakua wanakufaham

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anza kuchapa kazi za wanfunzi wenzako unachoitaji ni laptop tu hii side hustle mzuri sana itakuingizia pesa mzuri tu. wakati nipo chuo nilikua nafanya hii, hakika sikuwahi lalamika kuhusu ya bum.
 
Jordi alfred, fungua channel YouTube, tengeneza 2d animations. Kuna stori nyingi za mtaani unaweza kuziundia animation. Una kipaji kikubwa, itakuchukua muda kuanza kula hela (walau miezi sita) lakini ukianza unaweza kuendelea hata baada ya kumaliza chuo. Tafuta rafiki yako anaeweza kuandika mazungumzo, huwezi kufanya vyote peke yako. Unaweza ukachora stori ya timu ya mpira, angalia YouTube kuna watu wana views nyingi kwa michoro iliosimama, wewe ukiweza kuitembeza unaweza kupata hata dili la kufanya matangazo. Ningekushauri uchore picha za watu kisha walipie lakini kwa Tanzania itakua hutumii kipaji chako to the fullest. Jaribu animation, una mkono wa kuchora. Nunua tablet za kuchorea zilizotumika ni bei rahisi. Kompyuta unaweza kutumia hata za chuo. Mungu akubariki, una kipaji kikibwa na adimu sana.
"Nmekupata sasa kwenye tablet hapo n tablet gan hambayo n nzuri jina lake na inaweza kugalim kias gan? Used au new
 
Habarini wote,

Kama kawaida leo nimefikiria nimekuja na swali jipya.

Mimi nipo Dodoma chuoni nasoma but nahitaji kuendesha shughuli zangu za kipato na pia mimi ni artist hasa katka suala la uchoraji (drawing) mzuri lakini naona art yang hailipi kutokana na bado sijawa na skills na expirence kubwa sana.

Lengo ni kujua biashara yenye mtaji mdogo kama mjasiriamali ili niweze kujikimu mwenyewe kimaisha au niendelee na art?

View attachment 1327098View attachment 1327101

Sent using Jamii Forums mobile app
Upesi sana hiyo prfl ubadilishe kabla sijakufungulia mashtaka
 
Uza T-shirt plain na nyingine print kwa maandishi yanayovutia according to facult

Mfano uki print T-shirt iliyoandikwa Learned brother/sister unajua wanafunzi gani watazinunua sana au Teachers, Unsung Heroes unaweza jua ni facult gani watazishobokea n.k.

Uza vocha, uza bites, fanya huduma ya mpesa, tigo pesa n.k. Kibegi mgongoni mwanzo mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom