Ili kukuokoa wewe awake odd nne akauze simu makumbushoAsipokuja mtu akasema weka odds, Mods nipigeni ban.
Waste mbalimbali mafuta ya magariHabari wana jf,
Naomba mwenye business idea ambayo nikiwekeza 30m naweza pata faida ya atleast 5m per month.
Nataka uhalisia, siyo wazo tuu.Nina wazo kabambe la biashara ila niahidi kazi
How?Waste mbalimbali mafuta ya magari
mchanganuo mzuri. asanteKwa biashara za kuuza bidhaa za jumla huwa faida inapigiwa 20%-25% ya mauzo inaweza pia chini ya hapo kutegemea na aina ya bidhaa.
Twende kwenye hisabati nyepethii
Tufanye makadirio madogo.
kama profit margin tukipigia ya 20%
25/100 * x=5,000,000
x itakua jumla ya mauzo yanayoweza kutupa faida ya 5m kwa PM ya 25%
x= 20,000,000/=
tukigawanya kwa siku 30 tunapata mauzo ya wastani ya 666,666/=
swali linakuja je ni kweli 30m inaweza kukupa mauzo ya 20m kwa mwezi jibu linaweza kuwa ndio na hapana kulingana na aina ya biashara, ila kwa biashara nyingi jibu ni hapana.
Wengine wataongeza zaidi nimepigia kwa makadiro ya kawaida tu yanaweza kuwa sio sahihi pia.
Kama yeye ni businessman inawezekana sana tu ila kama anategemea maoni ya hapa wadau ndo aanze simshauri.Kwa biashara za kuuza bidhaa za jumla huwa faida inapigiwa 20%-25% ya mauzo inaweza pia chini ya hapo kutegemea na aina ya bidhaa.
Twende kwenye hisabati nyepethii
Tufanye makadirio madogo.
kama profit margin tukipigia ya 20%
25/100 * x=5,000,000
x itakua jumla ya mauzo yanayoweza kutupa faida ya 5m kwa PM ya 25%
x= 20,000,000/=
tukigawanya kwa siku 30 tunapata mauzo ya wastani ya 666,666/=
swali linakuja je ni kweli 30m inaweza kukupa mauzo ya 20m kwa mwezi jibu linaweza kuwa ndio na hapana kulingana na aina ya biashara, ila kwa biashara nyingi jibu ni hapana.
Wengine wataongeza zaidi nimepigia kwa makadiro ya kawaida tu yanaweza kuwa sio sahihi pia.
Ulichoandika ni sahihi, ila hapa tunampa taswira tu ila katika uhalisia anaweza kupata zaidi ya hapo au kukosa zaidi ya hapo kama inavyofahamika katika biashara mpya nyingi, kuna asilimia kubwa zinafeli kwa changamoto mbalimbali na pia zipo zitakazofanya vizuri.kama yeye ni businessman inawezekana sana tu ila kama anategemea maoni ya hapa wadau ndo aanze simshauri
biashara sio kwenye maandishi kama hivi
Uko sahihi, nili liona hili pia sehemuMkuu tafuta wilaya yoyote Tanzania ambayo haijachangamka Wala supply kuwa wengi...nenda azam pakia fullload ya juice mixer energy,malt,ember,ukwaju nakuhakikisha hiyo m5 unaipata oneza hapo ifike m38 maana ndio coast ya semi Zima tan28
Asipokuja mtu akasema weka odds, Mods nipigeni ban.
hahahaBetting
zitakazofanya vizuri ni only 1%Ulichoandika ni sahihi, ila hapa tunampa taswira tu ila katika uhalisia anaweza kupata zaidi ya hapo au kukosa zaidi ya hapo kama inavyofahamika katika biashara mpya nyingi, kuna asilimia kubwa zinafeli kwa changamoto mbalimbali na pia zipo zitakazofanya vizuri.
Waste mbalimbali umemaanisha ninWaste mbalimbali mafuta ya magari