Ni basi gani zuri la Dar - Mwanza?

Ni basi gani zuri la Dar - Mwanza?

Kelvin X

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,940
Reaction score
2,402
Naomba kuuliza ni bus gani zuri luxury lenye choo ndani linalo toka Dar kwenda Mwanza.

Asante
 
Allys Stars
Tanzanite
Happy Nations
Mengi Hayana Vyoo, Pia Vile Ni Kwaajili Ya Ndogo Tu
 
Naomba kuuliza ni bus gani zuri luxury lenye choo ndani linalo toka Dar kwenda Mwanza.

Asante
Usiji ukadanganyika hakuna Basi yenye choo ndani kutoka Dar kwenda Mwanza,lakini kwakukusaidia Kama unataka kuwahi panda Ally's Star au Tanzanite/ Dar Lux. Basi lenye full kiyoyozi mwanzo wa safari mpaka mwisho panda Happy Nation.Hayo mengine yote ya kawaida na mwendo wa Kawaida.Tukutakie safari njema
 
Usiji ukadanganyika hakuna Basi yenye choo ndani kutoka Dar kwenda Mwanza,lakini kwakukusaidia Kama unataka kuwahi panda Ally's Star au Tanzanite/ Dar Lux. Basi lenye full kiyoyozi mwanzo wa safari mpaka mwisho panda Happy Nation.Hayo mengine yote ya kawaida na mwendo wa Kawaida.Tukutakie safari njema
Asante bro
 
Back
Top Bottom