MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,731
Hii nchi yetu ina raia wapumbavu na ambao uwezo wao wa kuwaza mambo unatia shaka sana. Yani unakuta mtu anajiita msomi na anailaumu TANESCO kwa mgao wa umeme, yaani kuficha uzezeta wake anaamua kutoa lawama kwa TANESCO.
Hivi kwa akili hata za Chekechea TANESCO wanaweza kujiaumulia kuendesha migao ya umeme bila baraka za huko juu? kwamba TANESCO ndio wanao sababisha migao ya umeme? Migao inaenda mwaka wa tatu sasa kwamba shida ni TANESCO? akili za kipumhavu sana hizi, Mungu tusaidie waja wako.
Raisi na CCM yake ni watu wa kulaumiwa na wala sio TANESCO, sasa wajinga wajinga humu kutwa nzima na post za kuilaumu TANESCO kwa migao ya umeme.
Watawawala ndio wameshindwa kutawala, TANESCO haina shida, shida iko kwa watawala, hakuna kitu ambacho TANESCO wanajiamulia kufanya bila huko juu kujua.
Migao inapangwa huko Ikulu, na ratiba Mama anayo kabisa, na yeye ndio anapaswa kubeba lawama zote, na ifike wakati tuache ujuha tujitambue ndio maana tunafanyiwa maigizo na wakina Makonda kwa sababu walisha tuona hatunazo.
Hivi kwa akili hata za Chekechea TANESCO wanaweza kujiaumulia kuendesha migao ya umeme bila baraka za huko juu? kwamba TANESCO ndio wanao sababisha migao ya umeme? Migao inaenda mwaka wa tatu sasa kwamba shida ni TANESCO? akili za kipumhavu sana hizi, Mungu tusaidie waja wako.
Raisi na CCM yake ni watu wa kulaumiwa na wala sio TANESCO, sasa wajinga wajinga humu kutwa nzima na post za kuilaumu TANESCO kwa migao ya umeme.
Watawawala ndio wameshindwa kutawala, TANESCO haina shida, shida iko kwa watawala, hakuna kitu ambacho TANESCO wanajiamulia kufanya bila huko juu kujua.
Migao inapangwa huko Ikulu, na ratiba Mama anayo kabisa, na yeye ndio anapaswa kubeba lawama zote, na ifike wakati tuache ujuha tujitambue ndio maana tunafanyiwa maigizo na wakina Makonda kwa sababu walisha tuona hatunazo.