Ni aina gani ya watu, hatari zaidi katika jamii?

Ni aina gani ya watu, hatari zaidi katika jamii?

Watu wanaofurahia ugomvi wa wengine....na ikitokea wakapatana wale wahusika wale watu siku zao zinaharibika mpaka kupelekea kuwachukia tena wale watu waliokuwa wanawashabikia.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiumbe kile chenye vyeti feki ni cha hatari sana maana mtu akipatikana na cheti feki anasema Mbona hata kiumbe kile kina cheti feki na hakiguswi?
 
Dah....
Walevi na wakwepa kodi[emoji13] [emoji13]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Back
Top Bottom