Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Tanzania kuna ladha mbalimbali za mziki kama vile
A. Bongo flava
B. Bongo hip hop
C. Bongo Boringo au mziki wa dansi
D. Bongo Crank
E. Mchiriku
F. Singeli n.k n.k
Sasa huwa najiuliza ila sipati majibu.
Hivi WCB wanaimba aina gani ya Muziki hapa nchini ?
A. Bongo flava
B. Bongo hip hop
C. Bongo Boringo au mziki wa dansi
D. Bongo Crank
E. Mchiriku
F. Singeli n.k n.k
Sasa huwa najiuliza ila sipati majibu.
Hivi WCB wanaimba aina gani ya Muziki hapa nchini ?