Macadamia nuts kwa kilugha chetu wanaita Karanga miti. Ni nzuri na evergreen all the year around.Habari zenu wajameni,
Nahitaji msaada kujua aina ya miti inayokua kwa muda mfupi, yenye kivuli kizuri na show nzuri.
Iwe environmental friendly, Yasiwemakazi ya wadudu. nmekua curious kutengeneza backyard Garden sehemu ambayo ntaitumia kupumzika na kusoma.
Ukienda Tanzanian Seed Agency au unaweza kwenda SUA utapata miche.Ntapata wapi.mbegu zake hii
Mkuu miche ya hii miti inapatikana wapi ?
Asisahau pia Mkomamanga, mbalungi, mlonge na angalau hata mti mmoja wa kienyeji,napendekeza awake Mlumdalunda au mtundwa.mharadali.. nao mzuri
Asisahau pia Mkomamanga, mbalungi, mlonge na angalau hata mti mmoja wa kienyeji,napendekeza awake Mlumdalunda au mtundwa.
Wekeni picha za hiyo miti tafadhali
Sio lazima yote iwe ya kivuli, ingine itakuwa ipo kunogesha tu mandhari ya bustani.unaujua mkomamanga mkuu fresh?hv ule tunauweka kwenye group la.miti ya vivuli? mbona hauna vivuli
ππππUpupu
πMkuyu
nimecheka..eti mkuyu