Ni aibu na fedheha kwa Tanzania kuwekwa kundi moja la kihalifu na nchi za Myanmar na Afghanistan

Ni aibu na fedheha kwa Tanzania kuwekwa kundi moja la kihalifu na nchi za Myanmar na Afghanistan

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,143
Reaction score
56,407
EU statement to UN.

Regarding the situations in Afghanistan, Myanmar, the Occupied Palestinian Territory, South Sudan, and Sudan, the EU is concerned with the widespread human right violations in Tanzania.

CCM ndiyo iliyotufikisha hapa kwa kung'ang'ania madaraka na kukumbatia magenge ya kihalifu ndani ya chama kama Uvccm na magenge ya kihalifu ndani ya vyombo vya dola kama baadhi ya polisi wanaoteka watu.
 
EU statement to UN.

Regarding the situations in Afghanistan, Myanmar, the Occupied Palestinian Territory, South Sudan, and Sudan, the EU is concerned with the widespread human right violations in Tanzania.

CCM ndiyo iliyotufikisha hapa kwa kung'ang'ania madaraka na kukumbatia magenge ya kihalifu ndani ya chama kama Uvccm na magenge ya kihalifu ndani ya vyombo vya dola kama baadhi ya polisi.
Fikiria ile nchi ambayo iliheshimika chini ya Nyerere nchi nyingi zilisifia, kumbuka zama za Kissinger, Cater, Reagan etc

Patriotic Front, Commonwealth, na jinsi alivyomnanga Indira Gandhi kuondoa curfew, daaa!

Na alitabiri akaonya nchi isipewe “mbwa”. Hatuwezi kukabidhi nchi kwa “mbwa”, sasa wamechukua.

Mkapa alikabidhi Nchi kwa Mbwa, na mbwa hawa wametifikisha hapa.
 
Siasa tu,

Ila ukitoka hapo nje kwako unachokiona unaweza tufananisha na Afghanistan??
Kwa taarifa yako muulize mtu aliyefika Afghastan (sijasema, India au Pakistan), utashangaa hata wala maendeleo hayajaachana sana ki-community na Tanzania, usiniulize nimefika au nimejuaje, ila ndiyo hivyo.

Unakaa Njombe ukija Dar unaona ndiyo kila kitu, mjinga sana wewe
 
EU statement to UN.

Regarding the situations in Afghanistan, Myanmar, the Occupied Palestinian Territory, South Sudan, and Sudan, the EU is concerned with the widespread human right violations in Tanzania.

CCM ndiyo iliyotufikisha hapa kwa kung'ang'ania madaraka na kukumbatia magenge ya kihalifu ndani ya chama kama Uvccm na magenge ya kihalifu ndani ya vyombo vya dola kama baadhi ya polisi wanaoteka watu.
ni lofa na mwendawazimu pekee ndie anaweza kusema eti Tanzania hakuna amani, bali kuna uvunjifu wa haki za binadamu. hiyo ni nonsense kabisa.

serikali sikivu ya CCM itaendelea na jukumu la kulinda amani na usalama wa raia wake na kushiriki kulinda amani na haki za binadamu maeneo mbalimbali dunia.

Tanzania haitavumilia vitendo vya kigaidi kama vile kulipua vituo vya mafuata na kuchoma makazi ya wananchi, kupora mali au kuharibu miundombinu ya taifa hata kwa sekunde moja tu.
TZ has zero tolerance towards terrorist acts.

waambie na mamaluki malofa wenzako
 
ni lofa na mwendawazimu pekee ndie anaweza kusema eti Tanzania hakuna amani, bali kuna uvunjifu wa haki za binadamu. hiyo ni nonsense kabisa.

serikali sikivu ya CCM itaendelea na jukumu la kulinda amani na usalama wa raia wake na kushiriki kulinda amani na haki za binadamu maeneo mbalimbali dunia.

Tanzania haitavumilia vitendo vya kigaidi kama vile kulipua vituo vya mafuata na kuchoma makazi ya wananchi, kupora mali au kuharibu miundombinu ya taifa hata kwa sekunde moja tu.
TZ has zero tolerance towards terrorist acts.

waambie na mamaluki malofa wenzako
Thread 'Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania' PostGE2025 - Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania
 
EU statement to UN.

Regarding the situations in Afghanistan, Myanmar, the Occupied Palestinian Territory, South Sudan, and Sudan, the EU is concerned with the widespread human right violations in Tanzania.

CCM ndiyo iliyotufikisha hapa kwa kung'ang'ania madaraka na kukumbatia magenge ya kihalifu ndani ya chama kama Uvccm na magenge ya kihalifu ndani ya vyombo vya dola kama baadhi ya polisi wanaoteka watu.
Hakuna aibu yoyote!
Israel ipo kundi gani?
Marekani wapo kundi gani?
Au mnatumia vigezo gani kutengeneza hapo makundi ya nchi za kihalifu
 
EU statement to UN.

Regarding the situations in Afghanistan, Myanmar, the Occupied Palestinian Territory, South Sudan, and Sudan, the EU is concerned with the widespread human right violations in Tanzania.
Ni afadhali Nyerere hayupo kuona aibu hii!

Hivi Raisi Samia anatambua kwamba yeye ndio raisi pekee Tanzania alietoa amri iliyosababisha raia zaidi ya 5000 kuuwawa? Watu wanasema ameweka rekodi nyingi, mfano raisi mwanamke wa kwanza. Hii nayo ikumbukwe; Raisi mwenye rekodi ya mauaji mengi ya raia Tanzania
 
Itaendelea kuwa Afghanistan kwa nyumbu wote wahalifu wezi na waharibifu wa mali za watu na za umma kama wale nyumbu wa maandamano uchwara wa October 29 , dawa yenu ni kuchapwa risasi bila huruma
 
ni lofa na mwendawazimu pekee ndie anaweza kusema eti Tanzania hakuna amani, bali kuna uvunjifu wa haki za binadamu. hiyo ni nonsense kabisa.

serikali sikivu ya CCM itaendelea na jukumu la kulinda amani na usalama wa raia wake na kushiriki kulinda amani na haki za binadamu maeneo mbalimbali dunia.

Tanzania haitavumilia vitendo vya kigaidi kama vile kulipua vituo vya mafuata na kuchoma makazi ya wananchi, kupora mali au kuharibu miundombinu ya taifa hata kwa sekunde moja tu.
TZ has zero tolerance towards terrorist acts.

waambie na mamaluki malofa wenzako
Mwaka 1998 ni Mtanzania hadi leo yupo Guantamo Bay alishiriki na Osama kubomu Ubalozi wa Tanzania na Kenya, halfu ni hilo hilo dhehebu lenu. Mshenzi mkubwa wewe
 
Itaendelea kuwa Afghanistan kwa nyumbu wote wahalifu wezi na waharibifu wa mali za watu na za umma kama wale nyumbu wa maandamano uchwara wa October 29 , dawa yenu ni kuchapwa risasi bila huruma
Halafu wote ni dhehebu lenu, na karibu nusu ya etnic ya Zanzibar ndiyo hao! Shirazi haaaaa
 
Fikiria ile nchi ambayo iliheshimika chini ya Nyerere nchi nyingi zilisifia, kumbuka zama za Kissinger, Cater, Reagan etc

Patriotic Front, Commonwealth, na jinsi alivyomnanga Indira Gandhi kuondoa curfew, daaa!

Na alitabiri akaonya nchi isipewe “mbwa”. Hatuwezi kukabidhi nchi kwa “mbwa”, sasa wamechukua.

Mkapa alikabidhi Nchi kwa Mbwa, na mbwa hawa wametifikisha hapa.

Mwl Nyerere miaka fulani alisema "mtu anayechekacheka hafai kuwa rais wa nchi na ukimpenda saaaana mkaribishe tu nyumbani kwako mpe chai then piga naye stori na picha halafu achana naye" watanzania tukaja kumpa urais msoga baadaye kwa u-apedomia wetu, na huyu jamaa alimchukia mzee sana, hadi leo hajawahi kumuaddress kama baba wa taifa anamuita mzee Nyerere tu, alitamani sana mzee afe kabla ya uchaguzi alioshinda na ikawa. Sasa tuendelee kuvuna tulichopanda ripple effects
 
Mwaka 1998 ni Mtanzania hadi leo yupo Guantamo Bay alishiriki na Osama kubomu Ubalozi wa Tanzania na Kenya, halfu ni hilo hilo dhehebu lenu. Mshenzi mkubwa wewe
tuliza mihemko nonsense gentleman,
magaidi, mipango ya kigaidi na vitendo vyote vya kigaida havita vumiliwa hata kwa sekunde moja Tanzania.

utashughulikiwa vizuri sana bila haya, huruma wala aibu na upeleka zawadi ya huzuni kwenye uko wako na familia yako. ulofa wako ndio ujinga wako gentleman
 
Back
Top Bottom