vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 869
uzeeni lazima utakuwa mchawi.Ukiwa mnafiki ujanani...
We hupendi wazungu kweli?Ufisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
Sijawahi kukubaliana na matokeo ya tafiti za TWAWEZA,lakini matokeo ya utafiti wao wa hivi karibuni na aina ya hoja ziletwazo na "makinikia" ya Lumumba,nashawishika kuyakubari matokeo ya utafiti wao yaliyosema kuwa ccm inakubalika zaidi miongoni mwa jamii za wajinga,wapumbavu,wavivu wa kufikiri na watu duni kabisa wawezao kurubuniwa kwa kupewa kipande cha khanga na sinia la ubwabwa.
Upumbavu na umasikini wa watanzania walio wengi ndiyo mtaji wa ccm na serikali yake.Akili zilizoathiriwa na vumbi la makinikia,haziwezi kamwe kufikiri sawa sawa zaidi ya kuishia kupiga makofi na vigeregere kwa kila upuuzi utakaoibuliwa na wanaojiita viongozi.
Hivi wanaojiita viongozi ambao wametokana na kuchaguliwa na aina ya watu kama huyu mleta mada,hawaoni aibu kujiita viongozi?Ni fedheha sana kujiita kiongozi huku uongozi wako umeupata kwa kuchaguliwa na watu wenye nakisi ya ubongo na wanaofikiri kwa kiwango hiki cha mleta mada,hii ni aibu sana.
Kiongozi aliyechaguliwa na mazezeta wa aina hii hawezi kubeba matamanio ya watanzania katika kufikia Maendeleo ya kweli,ataishia kupiga sanaa tu kwa sababu anaamini "misukule" anayoiongoza haiwezi kuhoji chochote zaidi ya kuishia kukenua meno tu na kumjambia.
Hivi waliokamata vijana waliokuwa wanajumlisha kura za chadema waliwapeleka kwenye vyombo vya haki au?U
Umeongea vizuri maana wenye akili wamewachagua wenye akili zaidi yao,akina Sugu,Lema,Pro.J maana hawa wana uelewa zaidi wa kubadili gia angani na kuwatakasa waliowachafua wenyewe.Mnaonaje kwa manufaa ya kuondoa malalamiko ya kuibiwa kura na mazezeta mkawaelimisha ili mlioelimika msidhalilishe wasomi wenzenu kwa kuibiwa na misukule.
Kama kura za wasomi zinaibiwa na misukule wasomi hawa wakikabidhiwa nchi zezeta watabaki salama kweli?
kubshana na viumbe ambavyo..mungu amevipa akil ya kuvukia barabara tu utapoteza muda na kujchosha tuuuSijawahi kukubaliana na matokeo ya tafiti za TWAWEZA,lakini matokeo ya utafiti wao wa hivi karibuni na aina ya hoja ziletwazo na "makinikia" ya Lumumba,nashawishika kuyakubari matokeo ya utafiti wao yaliyosema kuwa ccm inakubalika zaidi miongoni mwa jamii za wajinga,wapumbavu,wavivu wa kufikiri na watu duni kabisa wawezao kurubuniwa kwa kupewa kipande cha khanga na sinia la ubwabwa.
Upumbavu na umasikini wa watanzania walio wengi ndiyo mtaji wa ccm na serikali yake.Akili zilizoathiriwa na vumbi la makinikia,haziwezi kamwe kufikiri sawa sawa zaidi ya kuishia kupiga makofi na vigeregere kwa kila upuuzi utakaoibuliwa na wanaojiita viongozi.
Hivi wanaojiita viongozi ambao wametokana na kuchaguliwa na aina ya watu kama huyu mleta mada,hawaoni aibu kujiita viongozi?Ni fedheha sana kujiita kiongozi huku uongozi wako umeupata kwa kuchaguliwa na watu wenye nakisi ya ubongo na wanaofikiri kwa kiwango hiki cha mleta mada,hii ni aibu sana.
Kiongozi aliyechaguliwa na mazezeta wa aina hii hawezi kubeba matamanio ya watanzania katika kufikia Maendeleo ya kweli,ataishia kupiga sanaa tu kwa sababu anaamini "misukule" anayoiongoza haiwezi kuhoji chochote zaidi ya kuishia kukenua meno tu na kumjambia.
h
Hivi waliokamata vijana waliokuwa wanajumlisha kura za chadema waliwapeleka kwenye vyombo vya haki au?
Ufisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
Maadamu umejitambua mapema..... Achana na sisi tuendelee kuipata aibu hii......wewe uwe mbali nasi kabiiiiiUfisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
Km mlimuita tumbili mtu anaefichua wizi mnashindwaje kukikashifu chama king lichomlea,ndo zenu magwambaraUfisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
Kama ilivyo aibu nafedheha kuipenda ccmUfisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
CCM NI FEDHEHAUfisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
Ccm iliyoaminika kwa watanzania ilishakufa na baba wa taifaChadema iliyokuwa tumaini kwa wanyonge iliondoka na dr slaa, hii ya sasa ni Mungu mwenyewe anajua
Sasa hivi magamba yamebakia kuweweseka kama mazuzuNa bado, ulijua namba itasomwa na bavicha pekeeee, thubutuuuuuu!!
Washabiki wengi wa CHADEMA na UKAWA wamebaki huko kwa sababu ya kuona aibu kurudi CCM. Wanakomaa kwa aibu zao!Ufisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.