Ni aibu na Fedheha kuipenda CHADEMA

Ni aibu na Fedheha kuipenda CHADEMA

Ni aibu na Fedheha
kuipenda Ccm.

Ufisadi umetamalaki
Ubabe umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa wasaini mikataba mibovu
umeshika mizizi
rushwa imeota mizizi
Uibaji wa kura na kutumia wajinga kweny chaguzi kuu.
Kupendwa na mazezeta walioathirika na vumbi la makinikia.

Jamani wadau ongezen ili mtoa thread aelewe, labda atapona.
CCM NI AIBU.
 
Hivi Chadema ndiyo wanaiongoza nchi hii? Ufisadi mfano, kutorosha makinikia nje ccm, kupitisha dhahabu bila kulipia kodi ccm, kufunga mikataba yote ya kilaghai ccm, kuruhusu na kutorosha wanyama nje ya nchi ccm, IPL na Escrow ccm, uvunjifu wa Amani ccm, kutosimamia serikali vizuri ccm, kila uchafu nchini ccm. Chadema mtaipenda tu
 
Yakupaswa kuwa na uwezo mdogo wa kufikiria
ili uwe mwana chadema
mtu timamu kweli
hawezi kuongozwa au kuungana na upuuzi wao
Mi siwalaumu Wa Tz wanaoishabikia Chadema... Je Wa CCM tusemaje sasa kama tumeweza washabikia miaka zaidi ya 50 nanimachoko zaidi ya hao.,.. Mi naona Chadema machoko ila wa CCM ndo wendawazimu kabisaaaa
 
Ufisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
umesahau hili lenu la UOGA WA KUOGOPA UPINZANI
 
Sijawahi kukubaliana na matokeo ya tafiti za TWAWEZA,lakini matokeo ya utafiti wao wa hivi karibuni na aina ya hoja ziletwazo na "makinikia" ya Lumumba,nashawishika kuyakubari matokeo ya utafiti wao yaliyosema kuwa ccm inakubalika zaidi miongoni mwa jamii za wajinga,wapumbavu,wavivu wa kufikiri na watu duni kabisa wawezao kurubuniwa kwa kupewa kipande cha khanga na sinia la ubwabwa.

Upumbavu na umasikini wa watanzania walio wengi ndiyo mtaji wa ccm na serikali yake.Akili zilizoathiriwa na vumbi la makinikia,haziwezi kamwe kufikiri sawa sawa zaidi ya kuishia kupiga makofi na vigeregere kwa kila upuuzi utakaoibuliwa na wanaojiita viongozi.

Hivi wanaojiita viongozi ambao wametokana na kuchaguliwa na aina ya watu kama huyu mleta mada,hawaoni aibu kujiita viongozi?Ni fedheha sana kujiita kiongozi huku uongozi wako umeupata kwa kuchaguliwa na watu wenye nakisi ya ubongo na wanaofikiri kwa kiwango hiki cha mleta mada,hii ni aibu sana.

Kiongozi aliyechaguliwa na mazezeta wa aina hii hawezi kubeba matamanio ya watanzania katika kufikia Maendeleo ya kweli,ataishia kupiga sanaa tu kwa sababu anaamini "misukule" anayoiongoza haiwezi kuhoji chochote zaidi ya kuishia kukenua meno tu na kumjambia.
Tuma hiyo nukuu ya utafiti wenyewe unaosema maneno" ccm wapumbavu ,Wajinga" tukiyaona hayo maneno ndipo tutaamini hoja yako, kama hutathibitisha basi wewe ni SHETANI na Chadema yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.

Naona mods wanakupendela sana kila saa Chadema utadhani mwanaume aliyenyimwa unyumba.

Hivi huko Chana Cha Majambazi mna matatizo gani?

Hao mbaowaabudu si ndiyo Majambazi wenyewe??Waliotuibia madini wako CCM, Escrow CCM, na Kivuko kibovu CCM.

Miaka 55 ya uhurutuli choshuhudia ni Chama Cha Makinikia kuiba na kupora raslimali zetu na wakiitumia Ikulu kupora.
 
Tuma hiyo nukuu ya utafiti wenyewe unaosema maneno" ccm wapumbavu ,Wajinga" tukiyaona hayo maneno ndipo tutaamini hoja yako, kama hutathibitisha basi wewe ni SHETANI na Chadema yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Atume ya nini wakati ukweli unajionyesha kwamba katika wale wapumbavu na wajinga wewe ni mmoja wapo.
 
Ufisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
Daaa naona kweli
Change
Tibaijuka
Ngeleja
Prof:Muhongo
Na wengineo wakipokea mahela ni chadema siku hizi.
 
Chadema iliyokuwa tumaini kwa wanyonge iliondoka na dr slaa, hii ya sasa ni Mungu mwenyewe anajua
Ni kweli kabisa chadema si ndio iliyokuwa inapiga makofi wakati bunge likipitisha miswaada ya mafuta,madini,na gesi,sababu ccm kupitisha miswaada ya nchi kuporwa na mabepari ndio kutetea wanyonge.
 
Sijawahi kukubaliana na matokeo ya tafiti za TWAWEZA,lakini matokeo ya utafiti wao wa hivi karibuni na aina ya hoja ziletwazo na "makinikia" ya Lumumba,nashawishika kuyakubari matokeo ya utafiti wao yaliyosema kuwa ccm inakubalika zaidi miongoni mwa jamii za wajinga,wapumbavu,wavivu wa kufikiri na watu duni kabisa wawezao kurubuniwa kwa kupewa kipande cha khanga na sinia la ubwabwa.

Upumbavu na umasikini wa watanzania walio wengi ndiyo mtaji wa ccm na serikali yake.Akili zilizoathiriwa na vumbi la makinikia,haziwezi kamwe kufikiri sawa sawa zaidi ya kuishia kupiga makofi na vigeregere kwa kila upuuzi utakaoibuliwa na wanaojiita viongozi.

Hivi wanaojiita viongozi ambao wametokana na kuchaguliwa na aina ya watu kama huyu mleta mada,hawaoni aibu kujiita viongozi?Ni fedheha sana kujiita kiongozi huku uongozi wako umeupata kwa kuchaguliwa na watu wenye nakisi ya ubongo na wanaofikiri kwa kiwango hiki cha mleta mada,hii ni aibu sana.

Kiongozi aliyechaguliwa na mazezeta wa aina hii hawezi kubeba matamanio ya watanzania katika kufikia Maendeleo ya kweli,ataishia kupiga sanaa tu kwa sababu anaamini "misukule" anayoiongoza haiwezi kuhoji chochote zaidi ya kuishia kukenua meno tu na kumjambia.
Huwo ndo ukweli,babu yangu Mimi ni Mzee sana lkn anakwambia mwenye akili timamu hawezi kuwa ccm,chama kinaendeshwa na zidumu fikra za Mwenyekiti yaani hata ukiwa Prof, lkn lazima ushabikie na uunge mkono hoja ukikataa utashughulikiwa.
 
Mi siwalaumu Wa Tz wanaoishabikia Chadema... Je Wa CCM tusemaje sasa kama tumeweza washabikia miaka zaidi ya 50 nanimachoko zaidi ya hao.,.. Mi naona Chadema machoko ila wa CCM ndo wendawazimu kabisaaaa
Kwani wewe uchoko uliiwacha sababu nakujua huwezi jamba,ukijamba mavi yanatoka.
umesahau hili lenu la UOGA WA KUOGOPA UPINZANI
 
Chadema haitaki kupendwa na MAZUZU yasiyotambua utu na usawa wao katika nchi ambayo iko huru.

NUKUU: “Wanaoweza kujenga Taifa huru ni watu huru wanaotambua utu na usawa wao”- Mwalimu Nyerere

Ufisadi umetamalaki
Uchochezi umekithiri
Uongo umekolea
Utapeli umepitiliza
Utetezi wa Wazungu umeshika mizizi
Urichmond umeota mizizi
Ushindwaji wa chaguzi umezoeleka.
CHADEMA NI AIBU.
 
Back
Top Bottom