cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Naungo mkono hojaTunachoweza ni kuongea mpira, ngono, muziki na kubishana siasa. Other than that kuna kipi hasa tunaweza kama taifa?
Yaan tanzania hakuna tunachokijua zaid ya kununua magor kwenye mipira
Nje ya hapo ni upuuzi mtupu hii nchi inapoelekea itakuwa kama alivyosema job ndugai
State failure