technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Mpaka leo viongozi wa CCM wapo kimya juu ya Report ya CAG sio katibu mkuu sio Polepole.
Sijui ndio wamekubaliana na wizi uliofanyika serikalini?
Kwanini wasiikemee serikali kwa wizi au na wenyewe kwa vile wanajua mabilion ya wanachama ?
Viongozi wa CCM acheni vita na CAG jitokezeni mtuambie huu wizi mnausika au watendaji wa Serikali wamewaangusha?
Sijui ndio wamekubaliana na wizi uliofanyika serikalini?
Kwanini wasiikemee serikali kwa wizi au na wenyewe kwa vile wanajua mabilion ya wanachama ?
Viongozi wa CCM acheni vita na CAG jitokezeni mtuambie huu wizi mnausika au watendaji wa Serikali wamewaangusha?