Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Mtaani vijana wetu graduates wengi wanazingua sana. Yaani graduate mzima unakuwa huna laptop kweli? Unathamini kuwa na smartphone ya laki 3 badala ya kununua laptop used ya hata 250,000 au 300,000/=?.
Maombi ya kazi online utafanyaje? Mtu alikupa kazi ndogo ya muda mfupi utafanyaje? Au mpaka uende stationary huko mtaani?!
Miaka yote unayokaa Chuo unashindwa kumiliki laptop used kweli? Kuna PC mpaka za laki 2.
Cha ajabu mtu anakuwa na Infinix Hot 11 ya 350,000, halafu laptop hana.
Ni ujinga na utoto mwingi sana.
Maombi ya kazi online utafanyaje? Mtu alikupa kazi ndogo ya muda mfupi utafanyaje? Au mpaka uende stationary huko mtaani?!
Miaka yote unayokaa Chuo unashindwa kumiliki laptop used kweli? Kuna PC mpaka za laki 2.
Cha ajabu mtu anakuwa na Infinix Hot 11 ya 350,000, halafu laptop hana.
Ni ujinga na utoto mwingi sana.

