Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
soon tutasikia kuna baadhi ya wanaune wapata Sikh zao
vitu biological havibadiliki kirahisi hvyo. Social-cultural aspects ndo zinaigwa
soon tutasikia kuna baadhi ya wanaune wapata Sikh zao
usije kumchanganya na nazdas kuwa makini.
Sikumbuki level gan nmefika. Ila nahitaji kale kamziki
Nipm nikupatie
Kuna wanaume na wavulana..
Halafu utasikia dume likiimba l miss my Johnny loh yaani hatari tupu
ni aibu kwa mwanaume kucheza game la aina yoyote kwenye SIMU!!!!!
usidanganye wenzio.jana.usiku ulikua unafanya nin kwenye simu yangu kwa macho yangu nimekuona ukicheza game bisha
weeee, game kabisaaa game?!! uliona vibaya nilikuwa naangalia tule tumuvi ulitotuficha kwenye kale kafolder!