Ni Afadhali!

Huyo jamaa anaishi hapo au ndo alikuwa anarekebisha hapo sehemu iliyoezuliwa na upepo, MAANA SIJAONA MIFUKOMIFUKO YA rambo JIRANI YAKE!
By ze way, Mke akiwa mkorofi ndani, utatamani urudi saa ambazo yeye alishalala, na uondoke kabla hajaamka. Unakuta kazini panakuwa na faraja kuliko nyumbani...lol!
 
Huyo jamaa anaishi hapo au ndo alikuwa anarekebisha hapo sehemu iliyoezuliwa na upepo, MAANA SIJAONA MIFUKOMIFUKO YA rambo JIRANI YAKE!
By ze way, Mke akiwa mkorofi ndani, utatamani urudi saa ambazo yeye alishalala, na uondoke kabla hajaamka. Unakuta kazini panakuwa na faraja kuliko nyumbani...lol!


na waume zetu wakiwa wakorofi ndani tufanyaje, lilevi, gubu nk.
 
Back
Top Bottom