Ni 14 February je, unapendwa….?

Ni 14 February je, unapendwa….?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,713
Reaction score
11,612
Ile siku mahususi kwa ajili ya wapendanao imewadia. Yaaani 14 February, hii ndio siku ambayo gest zote nchini huwa bize.

Je, unapendwa?? Mara yako ya mwisho kuambiwa nakupenda na mme, mke, etc ilikuwa lini? Vijizawadi vya hapa na pale je!

Je unapendwa? Embu titirika hapo chini….
 
Napendwa namimi mwenyewe.

I LOVE MYSELF.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom