NHIF na ukirikitimba

NHIF na ukirikitimba

Deghe Mangae

Senior Member
Joined
Mar 3, 2020
Posts
171
Reaction score
151
NHIF kuna sehemu mnayumba sana lakini pia mnaboa mno imagine nakatwa kila mwezi makato ya NHIF na MUNGU Wangu ananinusuru na magonjwa mazitomazito au usiumwe kabisa ndani ya miaka 6 cha ajabu kadi ikichakaa naambiwa niilipie nipate mpya.

Kwani haya makato ya kila mwezi yanafanya kazi gani kama sio kuniboreshea huduma??!!
 
Mchango wako ndio unaowafanya ofisi, vitendea kazi, posho n.k viwepo
 
Isipo kusaidia wewe inamsaidia mwengine
 
NHIF kuna sehemu mnayumba sana lakini pia mnaboa mno imagine nakatwa kila mwezi makato ya NHIF na MUNGU Wangu ananinusuru na magonjwa mazitomazito au usiumwe kabisa ndani ya miaka 6 cha ajabu kadi ikichakaa naambiwa niilipie nipate mpya.

Kwani haya makato ya kila mwezi yanafanya kazi gani kama sio kuniboreshea huduma??!!
Hehehe ... kwanza kunywa maji.

Ni kwamba michango yako inaenda kumsaidia mwingine kupata matibabu. Ndio bima zilizvyo pole.

Hata bima ya gari unakata kila mwaka na hupati ajali lakini bado unalipia usalama barabarani.

SHANGAA USIBISHE
 
NHIF kuna sehemu mnayumba sana lakini pia mnaboa mno imagine nakatwa kila mwezi makato ya NHIF na MUNGU Wangu ananinusuru na magonjwa mazitomazito au usiumwe kabisa ndani ya miaka 6 cha ajabu kadi ikichakaa naambiwa niilipie nipate mpya.

Kwani haya makato ya kila mwezi yanafanya kazi gani kama sio kuniboreshea huduma??!!
Hivi nchi kama botswana wanafanyaje
Nilikuwa napita keo asubuhi natoka southafrica na gari yangu private nikajikia homa kali na mafua hadi nikatafuta hospitali eneo linaitwa nata nikapokelewa na nesi lizuri balaa nikapimwa na nikapumzishwa kama masaa matatu kitandani na kupewa dawa
Nilivyopata nafuu nikaomba nipewe bili nilipe niendelee na safari cha ahabu naambiwa nenda tu hulipi chochote matibabu ni bure eh yani nikashangaa hadi mimi mgeni natibiwa bure?
Nchi tajiri kama yetu inashindwa nini na vinchi vya kichovu kama hivi?
 
Back
Top Bottom