Hujielewi wewe! Kwanza ni muongo muongo sana.wewe utakuwa miongoni mwa wanufaika wa mfumo wa upendeleo TRA kama huna MTU huwezi kupata kazi kwanza umekurupuka bila kujibu hoja yangu ya msingi kuhusu upendeleo ktk kuajili kwenye taasisi za umma
Hujielewi wewe! Kwanza ni muongo muongo sana.wewe utakuwa miongoni mwa wanufaika wa mfumo wa upendeleo TRA kama huna MTU huwezi kupata kazi kwanza umekurupuka bila kujibu hoja yangu ya msingi kuhusu upendeleo ktk kuajili kwenye taasisi za umma
umeshindwa kujibu hoja kalaleHujielewi wewe! Kwanza ni muongo muongo sana.
Hoja gani wewe ndo unajichanganya muongo! Mimi nataka unithibitishie kuwa TRA wametoa majina tuu iyo juzi...afu hoja ipo kwa mtoa thread wewe huna hoja ni mbishi na muongo muongoumeshindwa kujibu hoja kalale
akili yako ilivyo ndogo umeshindwa kuelewa hoja yangu umeng'ang'ania tra kutoa marks acha kujichanganya kama hukuelewa hoja kaa kimya kuliko kuonyesha upumbavu wakoHoja gani wewe ndo unajichanganya muongo! Mimi nataka unithibitishie kuwa TRA wametoa majina tuu iyo juzi...afu hoja ipo kwa mtoa thread wewe huna hoja ni mbishi na muongo muongo
NHIF kuna kujuana sana sasaivi,Naskia kuna wadau walikua tempo so ile ilikua mbinu ya kuwaingiza kazini
Mpumbavu ni wewe uliedanganya watu! Hauko sawa wewe kiazi mbatataakili yako ilivyo ndogo umeshindwa kuelewa hoja yangu umeng'ang'ania tra kutoa marks acha kujichanganya kama hukuelewa hoja kaa kimya kuliko kuonyesha upumbavu wako
Matokea ya usaili yamesaishwa yote, wanatakiwa waweke hayo matokeo na majina na alama walizopata watu, na kusema kuanzia marks Fulani mpaka Fulani ndio wamefauru kwenye website yaomkubwa wanaopita ndio huarifiwa labda kama ulifika kwenye oral ambayo mnakuwaenye wachache
unaonekana hauko sawa umeshindwa kujibu hoja unatokwa povu acha mambo ya like weweMpumbavu ni wewe uliedanganya watu! Hauko sawa wewe kiazi mbatata
Ivi unasoma unachokiandika kweli wewe mrembo?unaonekana hauko sawa umeshindwa kujibu hoja unatokwa povu acha mambo ya like wewe
tatizo la mbongo kama wewe ndo hilo ukikosa kazi unasingizia upendeleo,kubali umefeli au kwa jina lingine wewe kilazaAcha kukurupuka bara interview ilifanywa na NBAA mara haikufanywa na NBAA hakuna cha kutetea watu wengi tunawafahamu hapo trb wameingia kwa kujuana interview nikutimiza matakwa yakisheria tu
mbona utumishi watu wakifeli hawalalamiki? hoja ni uwazi unaotumika katika mchakato wa kuajili.Mimi sina mda wa kupoteza wa kuomba kazi kwenye mifuko ya kijamiitatizo la mbongo kama wewe ndo hilo ukikosa kazi unasingizia upendeleo,kubali umefeli au kwa jina lingine wewe kilaza
matusi ni ishara ya ukomo wa uwezo wako wa kufikiri jibu hoja ya mtoa postIvi unasoma unachokiandika kweli wewe mrembo?
hongera mkuuMbona watu tupo ofisini tayari mkuu,mimi nilinyakua post moja,